Collinsteve
Member
- Mar 19, 2019
- 88
- 46
Jamani nina eneo langu liko Kibaha kwa Mfipa jirani na Sec. naliuza. Lina ukubwa wa nusu heka, kuna boma la nyumba ya vyumba 3 ambavyo vyote ni master, seble jiko na dining.
Nimeezeka vyumba 2 na vyoo vyake tayari vinatumika, lina tank ya chini ya kuvunia maji lita elfu 3000, umeme nguzo mbili, maji ni mita 500 KM 1 kutoka main road.
Nataka milion 18
Simu: 0685223804
Nimeezeka vyumba 2 na vyoo vyake tayari vinatumika, lina tank ya chini ya kuvunia maji lita elfu 3000, umeme nguzo mbili, maji ni mita 500 KM 1 kutoka main road.
Nataka milion 18
Simu: 0685223804