Mbunge wa CCM
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 475
- 22
USISAHAU KUWA YANATAKIWA KUTEMWA NA WAZUNGU! Ole wako wewe mbongo ukateme, utakiona cha mot na barabara wala haitengenezwi.Kama vipi tuwakodishe wazungu wengine wafanye hiyo hkazi ya kutemea mate trafiki.
wazo zuri sana.
tunaweza kuanza kampeni sasa hivi tuianzia na wazungu tulionao kwa sasa nchini, ya kumtaka kila mzungu amtemee mate angalau mtendaji mmoja wa serikali kila kwa mwezi ili kuharakisha maendeleo,