Endapo Yanga watafungwa na Azam katika fainali FA. Simba watadondokea moja kwa moja kombe la shirikisho Afrika

Ndio atacheza kwasababu amesajiliwa ndani ya msimu wa dirisha kubwa

Angekuwa amesajiliwa kipindi cha dirisha dogo asingecheza, kutokana na kwamba Yanga walishawasilisha jina lake CAF.
Umezidi kuwachangaza VICHWA PANZI!
 
inaonesha jinsi gani huna akili. Tanzania inapeleka timu nne kimataifa kwa sababu ipo ndani ya ligi bora 12 Africa, hivyo timu mbili shirikisho, mbili champions league. Huyo azam hata akishinda mwisho wake ni shirikisho tu. Top 2 ya ligi ina nguvu kuliko Fa-Cup kwenye qualifications.
Kama Rs Berkane alishinda kombe la shirikisho msimu uliopita na msimu huu kacheza shirikisho CAF .Je! CAF na Azam federetion ni ipi yenye hadhi
 
Kama Rs Berkane alishinda kombe la shirikisho msimu uliopita na msimu huu kacheza shirikisho CAF .Je! CAF na Azam federetion ni ipi yenye hadhi
sielewi hata mantiiki ya swali lako, maana washindi wa hayo makombe wanaenda shirikisho, unless wawe nafasi za kuingia club bingwa. sasa jijibu.
 
Amfibia unazidi kuwafanya amfibia wenzako Wazidi kuonekana ni hamnazo kama Msukule Manara alivyowahi kusema .
 
cokies

Paw

Active.

Huu Uzi WA kupotosha Hadi sasa upo hapa kwa LENGO Gani???

Mbona hauna ukweli na Tumetoa cralification zake???

JUKWAA LETU PENDWA TUNARIHALIBU KWA KUISHI NA UPOTOSHAJI KAMA HUU.

NYUZI ZENYE UONGO NINGETAMANI ZINGEKUWA ZINAONDOLESA AMA ZINAFUTWA.

Tunazidi kuishisha hadhi Jamii Forum.
 
Champions league anaenda Yanga na Simba yaani mshindi wa 1 na WA Pili, confederation anaenda Azam na Singida, huo ndo utaratibu ulivyo..
 
Hata simba isiposhiriki cuf. Conf wala shirikisho sio, nyinyi CCM FC wala Azam watakao chukua ubingwa wa hayo makombe.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Kolo atacheza tu Club Bingwa maana as Yanga lazima tutetee kombe letu
 
Endapo Yanga watafungwa na Azam katika fainali ya kombe la FA moja kwa moja club ya Simba haitoshiriki kombe la club bingwa Afrika bali watashiriki kombe la shirikisho barani Afrika.

Utaratibu uliopo, Mshindi wa Ligi kuu pekee na mshindi wa FA cup ndiyo wanaopata tiketi ya kushiriki club bingwa moja kwa moja.Endapo mshindi wa Ligi kuu ndiye mshindi wa FA cup basi mshindi wa pili wa Ligi kuu huchukuliwa.Hivyo endapo Yanga atashinda fainali ya FA cup atakuwa mshindi wa Ligi kuu pamoja na FA cup hivyo kumfanya mshindi wa pili wa Ligi kuu ambaye ni Simba sc kushiriki CAFCL. Endapo Azam Fc watashinda FA cup basi yeye pamoja na mshindi wa Ligi kuu pekee ndiyo watakaoshiriki CAFCL

View attachment 2654236
Mzee, fatilia mambo mengine mpira hujui..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
inaonesha jinsi gani huna akili. Tanzania inapeleka timu nne kimataifa kwa sababu ipo ndani ya ligi bora 12 Africa, hivyo timu mbili shirikisho, mbili champions league. Huyo azam hata akishinda mwisho wake ni shirikisho tu. Top 2 ya ligi ina nguvu kuliko Fa-Cup kwenye qualifications.
Ale chuma hiko
 
Back
Top Bottom