Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,344
- 6,403
Umezidi kuwachangaza VICHWA PANZI!Ndio atacheza kwasababu amesajiliwa ndani ya msimu wa dirisha kubwa
Angekuwa amesajiliwa kipindi cha dirisha dogo asingecheza, kutokana na kwamba Yanga walishawasilisha jina lake CAF.