Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 455
- Thread starter
- #61
eti? Embe nyonyo? Ntalipata wapi embe? Embe embe au? Mkuu niweke sawa mana sie wa47 mmetuacha njia ya kupandia!
yametajwa maembe kibao mkuu bado ile kituo ilikupita? Sasa babu ile Gear wanayoita Reverse ina hatari maana nyuma katu haturiiiiiiiiiiii....njoo nikupe embe lililogundikwa wallah nalo kiama kwa utamu............