Email: kwa nini hili haliwezekani?

JAYJAY

JF-Expert Member
Oct 31, 2008
7,519
7,557
nilikuwa nimefungua email yangu kwenye yahoo, wakati bado niko signed in, ndugu mmoja naye akaomba naye afungue email yake ambayo pia ni yahoo. nikafungua window mpya ya yahoo lakini bado nikakuta email yangu ndiyo iko signed in, nikafungua window nyingine nikakuta ni vile vile. ilibidi mwishoni ni sign out email yangu mimi, kisha ndipo jamaa alipoweza na yeye kufngua email ya kwake. sasa kwa nini hili la kufungua email za watu tofauti wanaotumia mtandao mmoja (mfano yahoo) kwenye computer moja kwa wakati mmoja haliwezekani (au linawezekana?), na je inawezekana mtu akafungua email yake kwa kutumia computer mbili au zaidi kwa wakati mmoja bila tatizo ( mfano mtu huyo yupo na computer nyingi kama kwenye internet cafe)
 
1. Inawezekana watu wawili tofauti kusign katika computer moja kama mtatumia browser mbili tofauti. mfano wewe umesign in kwenye Internet Explorer na mwingine akasign in kwenye Mozilla Firefox
2. kuhusu kufungua email yako katika computer mbili i think its impossible japo nimejaribu kufanya hivyo kwenye computer na kwenye Iphone imewezekana bila shida yoyote
 
1. Inawezekana watu wawili tofauti kusign katika computer moja kama mtatumia browser mbili tofauti. mfano wewe umesign in kwenye Internet Explorer na mwingine akasign in kwenye Mozilla Firefox
2. kuhusu kufungua email yako katika computer mbili i think its impossible japo nimejaribu kufanya hivyo kwenye computer na kwenye Iphone imewezekana bila shida yoyote

u ar ryt mkuu
 
Ni kweli, kwa yahoo haiwezekani...lakini kwa gmail inawezekana! kuna option ya ku'switch into another account' ukiclick, inafunguka browser nyingine ambayo mtu mwingine mwenye gmail account anasign in bila tatizo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom