Mweee kwa maelezo yako unaonekana na wwe ni afisa usalama,tehe tehe mtajulikana tu humu JF!
Hapo umesema.Issue gani wataka ku report? Kama ni deal za watu unataka tia mchanga sikushauri ndugu yangu, utajitia matatizoni. Tanzania saiv hatuna usalama wa Taifa, tuna litaasisi la kulinda interest za mafisadi na chama tawala.
Wewe ni nchi gani umeona takukuru, na usalama wa taifa ndo vinara wa rushwa?
Narudia tena, wacha kabisa ku sniff issues kubwa afu ujifanye we ni mzalendo eti uwa expose! Unachezea kifo!
hivi wewe kweli usalama