professional ethics
Senior Member
- Dec 24, 2023
- 108
- 352
Wakuu mdogo wenu nipo njia panda, Jana usiku sasa tatu kamili nime pigiwa simu na mwanamke aliejitambulisha kuwa ni mkurugenzi wa shule moja binafsi hapo jijini Arusha (jina nimelitunza O level hadi A level), lengo la simu yake amenambia kuwa wananihitaji katika shule yao mara baada ya kumaliza masomo mwaka huu (nipo mwaka wa tatu hapa DUCe, nachukua Bachelor of Science with Education, Biology na Chemistry).
Baada ya kumuuliza namba zangu kapatia wapi alikata simu. Cha ajabu zaidi leo asubuhi nimekuta email yao kwenye simu yangu ikisisitiza nilicho ambiwa jana na mwanamke aliejitambulisha kuwa ni mkurugenzi.
Kwa kweli baada ya simu hiyo nimekuwa na wasiwasi sana kwani nahofuia usalama wangu, mana nimejiuliza Mimi ni nani hadi wanipigie simu.
Baada ya kumuuliza namba zangu kapatia wapi alikata simu. Cha ajabu zaidi leo asubuhi nimekuta email yao kwenye simu yangu ikisisitiza nilicho ambiwa jana na mwanamke aliejitambulisha kuwa ni mkurugenzi.
Kwa kweli baada ya simu hiyo nimekuwa na wasiwasi sana kwani nahofuia usalama wangu, mana nimejiuliza Mimi ni nani hadi wanipigie simu.