REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 947
Verry simple, NAPE anayo masterz na Mnyika hakumaliza chuo.period
Then very simple Nape form four ana div.4 ya point 29 na Mnyika ana div.1 ya point saba"
Verry simple, NAPE anayo masterz na Mnyika hakumaliza chuo.period
...ana uwezo zaidi ya Nape,pima kazi zao
ingekuwa pepa ya matusi NAPE ANGEKUWA NA DIV ONE YA MAANA TU... JAMAA ANA MDOMO MCHAFU UTAFIKILI HAKUZALIWA NA BINADAMU. HUWA SIJALI SANA ELIMU YA MTU LAKINI HUMPIMA KWA HEKIMA NA USTAARABU WAKE, KWANGU INATOSHA
...ana uwezo zaidi ya Nape,pima kazi zao
waweza kuwa na Nia lakini ukakosa mbinu, sasa tunataka mbinu alizotumia Nape kufikia hapo alipo. Taifa lina hali mbaya sana kwa sasa acha utani Mkuu. Kumbuka kila jambo lawezekana ukilijulia mbinu zake.
Kumbe alijifunzia matusi NSUMBA au alitoka nayo NGUDU???????????
NI kilaza tu huyo. Hana lolote katika jamii.
Mbona WASUKUMA WENZAKE NI WAJANJA????????? AU yeye sio msukuma????
Basi John Mnyika ni MutariKazi ya John Mnyika itapimwa na watu wa Ubungo; ila kwetu CCM Nape Nnauye kifaa kama vile Messi
Chama
Gongo la mboto DSM
waweza kuwa na Nia lakini ukakosa mbinu, sasa tunataka mbinu alizotumia Nape kufikia hapo alipo. Taifa lina hali mbaya sana kwa sasa acha utani Mkuu. Kumbuka kila jambo lawezekana ukilijulia mbinu zake.
...no no noooo, masahihisho kidogo, kazi za J.J.Mnyika ni zaidi yajimbo la ubungo,sote tunajua hoja binafsi alizopeleka bungeni kwa maslahi ya taifa zima. nape wenu amefanya nini kwa maslahi ya kitaifa (na sio chama) ? ..Kazi ya John Mnyika itapimwa na watu wa Ubungo; ila kwetu CCM Nape Nnauye kifaa kama vile Messi
Chama
Gongo la mboto DSM
Verry simple, NAPE anayo masterz na Mnyika hakumaliza chuo.period
Chama, why do you speculate? why can't you leave the task to Nape himself?Ili uifanye ufanye mtihani wa kidato cha 6 unatakiwa uwe na alama za viwango vya C na kuendelea kwenye masomo 3 kwa maana hiyo kama hauwahi kuzipata hilo alama kwenye mtihani wa taifa atakuwa alirudia masomo yake na hatimaye kufanikiwa azma yake hilo nalo pia nikufundishe!
Chama
Gongo la mboto DSM
...no no noooo, masahihisho kidogo, kazi za J.J.Mnyika ni zaidi yajimbo la ubungo,sote tunajua hoja binafsi alizopeleka bungeni kwa maslahi ya taifa zima. nape wenu amefanya nini kwa maslahi ya kitaifa (na sio chama) ? ..
Jitihada zipi hujaeleza, na hii inatokana na kujibu usichokijua. Umwache Nape Nnauye aje mwenyewe aweke bandiko hapa kama John Mnyika alivyokuja akiwa Verified na kujibu. Wewe unaleta projo tu.Mbinu ni kusoma kwa jitihada ndicho alichofanya Nape Nnauye nimefurahishwa sana na jitihada zake.
Chama
Gongo la mboto DSM