Elimu ya Makamba

Makamba..
1.alikuwa mwalim wa UPE shule ya msingi Lushoto....
2.AKatunga wimbo wa TANU ambao ulikuja kutumiwa sana kueneza propaganda za TANU>>>JKN alitaka kujua nani alieutunga wimbo ule....akatafutwa .........safari ikaanzia hapo...akapelekwa kivukoni.....then JEshini
3.Waliingia Depo moja na JK jeshini........Monduli kama makada wa chama...(atamfia JK na si TZ)
4.Ni mlezi na support mkubwa sana wa watoto wa Makamba.....kielemi na kila kitu...
5.Alipokuwa jeshini akawa kada wa chama...........
6.Akateuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya......
7.Mwinyi akaja kumpa ukuu wa Mkoa....MG baadae KG na Dar
8.JK akaja kumpa ukatibu wa chama.......
9.Ndipo hapoo alipo...hana shule zaidi ile ya UPE na seminari.....O level


Source please!!!

lazima tumtendee haki na sio kumzushia.

lazima tukubali kuwa huyu ni mbunge wa kuteuliwa na rais hivyo mnaweza tembelea tovuti ya bunge la muungano na kuiweka CV yake kama nilivyofanya kwa Dr Slaa.
 
Makamba..
1.alikuwa mwalim wa UPE shule ya msingi Lushoto....
2.AKatunga wimbo wa TANU ambao ulikuja kutumiwa sana kueneza propaganda za TANU>>>JKN alitaka kujua nani alieutunga wimbo ule....akatafutwa .........safari ikaanzia hapo...akapelekwa kivukoni.....then JEshini
3.Waliingia Depo moja na JK jeshini........Monduli kama makada wa chama...(atamfia JK na si TZ)
4.Ni mlezi na support mkubwa sana wa watoto wa Makamba.....kielemi na kila kitu...
5.Alipokuwa jeshini akawa kada wa chama...........
6.Akateuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya......
7.Mwinyi akaja kumpa ukuu wa Mkoa....MG baadae KG na Dar
8.JK akaja kumpa ukatibu wa chama.......
9.Ndipo hapoo alipo...hana shule zaidi ile ya UPE na seminari.....O level

Maelezo yako yanafanana na ya Mzee mmoja wa huko Lushoto, ila umesahau kidogo, Makamba alikuwa na akili darasani lakini mtihani wa mwisho darasa la nane alifeli na akajitundika ili ajinyonge lakini akaokolewa na wasamaria, akaingia ndani ya chama halafu akawa mwalimu, hapo tena akapiga mimba mwanafunzi " Kigoma?" akafukuzwa ualimu etc.....then akarudishwa chamani kimtindotindo....Jeshini kiainaaina..... mpaka leo ....bla...bla......abragadaaaaaaa hapa kopa, hapa kisu, wapi mzungu kalala........
 
wana jf tunaonekana kukosa kazi. hivi kweli kiwango cha shule cha afande huyu nacho ni cha kuhoji? hivi ni katika speech ipi uliwahi kumsikia akibishana na neno hata moja la lugha ya malkia likiwa limetoka kinywani? yule omaoma maarufu aka matonya alipokutwa na waandishi wa ha bari kipidi fulani darajani morogoro wakati (huo RC ni Dr Gama) alijibu kuwa Gama ameenda shule na ndo maana hakuwa na muda na kina matonya tofauti na Makamabaa. sijawahi kumsikia (makamba) hata akisema "sorry" Basi kama kweli ni mabomu yaliharibu fyuzi kazi ipo hasa. itakuwa imefuta mambo mengi.
lakini kwani umri wake hasas ni miaka mingapi? naona kama vile anamzidi hata Mugabe.
 
wana jf tunaonekana kukosa kazi. hivi kweli kiwango cha shule cha afande huyu nacho ni cha kuhoji? hivi ni katika speech ipi uliwahi kumsikia akibishana na neno hata moja la lugha ya malkia likiwa limetoka kinywani? .

Kuna siku nilienda na katoto ka jamaa yangu mzungu kijijini, jamaa zangu wakawa wako interested na kukauuliza maswali sana na mimi nikawa na tafsiri tu, niliporudi siku nyingine wakaniuliza yule dogo msomi yupo wapi, baadaye sana ndio nikagundua kuwa walijua kujua kiingereza maana yake umesoma sana.Na hadithi yangu inaishia hapo..pigeni makofi..hadithi hii inatufundisha tuache upumbafu
 
Elimu yake inatusaidia nini wadau??? Unaweza kuta kawekwa ukatibu kwasababu ya ushkaji wake na JK au kwasababu ni mpiga domo zuri kimsingi utendaji ndio unafaa kujadiliwa na sio elimu. mbona ndani ya mabenki yetu Tanzania kuna watu hata darasa la saba hawakumaliza lakini wanafanya kazi kwa uzoefu???
 
Nchi inaongozwa na watu wasio na elimu. What a bloody shame. I certainly hope the next generation of leaders will be a generation of educated Tanzanians. 2pigebuku.. These loud mouth politics ndio zitatufanya tukandamizwe na dunia hii isio na huruma.
 
Makamba..
1.alikuwa mwalim wa UPE shule ya msingi Lushoto....
2.AKatunga wimbo wa TANU ambao ulikuja kutumiwa sana kueneza propaganda za TANU>>>JKN alitaka kujua nani alieutunga wimbo ule....akatafutwa .........safari ikaanzia hapo...akapelekwa kivukoni.....then JEshini
3.Waliingia Depo moja na JK jeshini........Monduli kama makada wa chama...(atamfia JK na si TZ)
4.Ni mlezi na support mkubwa sana wa watoto wa Makamba.....kielemi na kila kitu...
5.Alipokuwa jeshini akawa kada wa chama...........
6.Akateuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya......
7.Mwinyi akaja kumpa ukuu wa Mkoa....MG baadae KG na Dar
8.JK akaja kumpa ukatibu wa chama.......
9.Ndipo hapoo alipo...hana shule zaidi ile ya UPE na seminari.....O level

Bonge la CV..Limetulia kwa kweli..........lol
 
Pia alikuwa Mwl. wa somo "jifunze biblia" au bible for beginners huko seminary
 
Makamba..
1.alikuwa mwalim wa UPE shule ya msingi Lushoto....
2.AKatunga wimbo wa TANU ambao ulikuja kutumiwa sana kueneza propaganda za TANU>>>JKN alitaka kujua nani alieutunga wimbo ule....akatafutwa .........safari ikaanzia hapo...akapelekwa kivukoni.....then JEshini
3.Waliingia Depo moja na JK jeshini........Monduli kama makada wa chama...(atamfia JK na si TZ)
4.Ni mlezi na support mkubwa sana wa watoto wa Makamba.....kielemi na kila kitu...
5.Alipokuwa jeshini akawa kada wa chama...........
6.Akateuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya......
7.Mwinyi akaja kumpa ukuu wa Mkoa....MG baadae KG na Dar
8.JK akaja kumpa ukatibu wa chama.......
9.Ndipo hapoo alipo...hana shule zaidi ile ya UPE na seminari.....O
level


Atakuwaje mwalimu wa UPE wakati unasema ana elimu ya seminary olevel?
 
walimu tunadharauliwa sana........!
but LUT. MAKAMBA is a "PHILOSOPHER"
Believe me!
 
To my records......we have 2 philosophers in TZ ......NYERERE & MAKAMBA......!
no doubt....!
 
philosophy is a [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Way_of_life"]way of life[/ame] whose focus is resolving the [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Meaning_of_life"]existential questions[/ame] about the [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Human_condition"]human condition[/ame]. Philosophy comes from the [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Greek_language"]Greek[/ame] φιλοσοφία [philosophia], which literally translates to "love of wisdom"
mimi humuona mpiganaji huyu akipenda sana HEKIMA
 
Back
Top Bottom