Jamani Rodriguez zimekata kwangu. Naomba msaada wenu wadau
Kama nataka kutumia dish la ft6 uelekeo wa azam(fta) lnb ifungwe eneo gani pale juu? na kwenye amos 5 @17' c band lnatumika kama ilivyo au kuna kinachotolewa?
Hata mie mkuu wangu haionyeshi sijui shida ni nini? Au wameitoa kuwa free na kuwa ya kulipia kwa sababu ya kombe la dunia. Au sababu ya kombe la dunia mkuu. Je kwenye zuku wanaipata au napo imekata?
Tp 11785v27500 SES5 kwa sasa ipo hewani enjoy it while it lasts. Chnl za South Africa-SABC1,2,3, eTV,KZN, .....etc.
hua sinaga imani kabisa na data kama hizi....
coz haijawai tokea izo chanel ulizo zitaja zikawa fta na kwakua ziko kibiashara zaidi io ni ndoto mkuu.
kwenye remote yako bonyeza "ok" kisha bonyeza buttan ya " volume" kushoto mara 2 au kulia mara moja utaziona channel ulizoongeza. Nb . zipo za tv na radio za nje
Sure. Ndio hivyo.
kwenye remote yako bonyeza "ok" kisha bonyeza buttan ya " volume" kushoto mara 2 au kulia mara moja utaziona channel ulizoongeza. Nb . zipo za tv na radio za nje
kwa data za sasa zinaonesha kua wamesha hama apo....
wapo ses5... tuu
more infor nita wapa.