Ph-25
JF-Expert Member
- Nov 19, 2012
- 1,159
- 537
- Thread starter
- #241
Wakuu eeee mimi kdg nakautalaamu kuhusu ict,achaneni na haya ma chanel ya kutumia ma dish iwe ku band ama c band.kanunue smart tv yyte ambayo ina port ya lan(local area network)hutumika kwenye internet then nenda ktk network set up ya menu ktk tv yako uki serch utapata chaneli mpaka elf 4.nb hakikisha umeunganishwa na internet
wazo zuri bt kwa tz network bdo shda sana,kuna sehemu ni remotenes area ile mbaya,unaisi itawezekana.?