Elimu ya bure kuhusu Azam TV

NO hapa dish ni hiyohiyo moja la azamtv, we toa cable kwenye lnb in hapo hamishia kwenye receiver ya kawaida. Hapo ingiza frequency uliyopewa then search .
DISH NI MOJA TU

Nina receiver ya Dstv nikiongeza hizo freq inamaanisha nitaendelea kupata na zile za awali? Na je hii Dstv receiver nikiamua kuirudisha kwenye dish lake kuna lolote laweza kuharibiana au ntaendelea para Kama awali. Please help kwani I have no idea on this technology though am a fast learner

The listener
Ex Detective
 
[QU OTE=ndanda masasi;10199698]Hbr ya sikukuu
Bahati
Jarbu tu bidhaa nyingi dukani nkubahatisha.Ila ikipata Strong srt 4922 hii bna ni mashine bna[/QUOTE]

Vipi kuhusu strong srt 4310. Ninayo hapa ndo nataka kutest hayo mambo
 
Nina receiver ya Dstv nikiongeza hizo freq inamaanisha nitaendelea kupata na zile za awali? Na je hii Dstv receiver nikiamua kuirudisha kwenye dish lake kuna lolote laweza kuharibiana au ntaendelea para Kama awali. Please help kwani I have no idea on this technology though am a fast learner

The listener
Ex Detective
Ukirudisha dekoda yako kwenye dish ya zamani y DSTv utapata channel za DSTv, nakuhusu kuongeza channel inawezekana na zile za zamani ukaendelea kuziona pia. Jaribu pitia uzi mzima humu kuna maelekezo yote namna ya kuongeza channel dekoda ya azam tv
 
Habari zenu. Napenda nikushukuru mleta uzi Ph-25 kwa elimu nzuri uliyoitoa kwetu. Nimepitia uzi wako kuanzia page ya kwanza mpaka naandika sasa kwa muda wa wiki. Nimejifunza mengi na nimepata channels nyingi. Shukrani kwako kwa kutokuwa mchoyo na pia shukrani kwa wadau wote ambao wamechangia ktk njia moja au nyingine. Shukrani sana!
 
Last edited by a moderator:
Mimi Nina add izo Chanel nkifika mwisho nasevu je baada ya hapo nafaneje coz sizion kwrnye list....azam
 
tangu asubuhi ting wameachia chanel zao zoooote. 12418 v 30000.viva fta

Hongera! Unatumia receiver gani? Na je umetengeneza satelite nyingine na kufanya settings au kwenye hiyo hiyo satelite ya Azam? Natumia decoder ya Azam ila sipati kitu.
 
Ni hivi chanel zooote za ting zipo wazi tangu leo asubuhi. Kama dish lako umetega uelekeo wa amos5 utawapata live bila chenga mkuu kwa freq nilizotoa
 
Ikisave unatakiwa ku-autosearch tena, ila ktk satelite ambayo umeweka frequency husika.

ukitaka Ku autosearch kwenye satellite husika na sio pote unafaneje coz nahis nasearch auto search kote hapamenishinda....
sasa Ku add frequency najua na satellite najua tatizo limebak hilo
 
Auto search una press OK then unabadilisha kwa Kubonyeza batan > za kuongeza sauti ili ibadilike kutoka Eautelsat 7B kuja satellite uliyotengeneza zen una auto search
 
Auto search
 

Attachments

  • 1419145815014.jpg
    1419145815014.jpg
    50.3 KB · Views: 464
Back
Top Bottom