Elimu pekee haitoshi kuleta Maendeleo au Mafanikio ya mtu mmoja mmoja

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Dec 26, 2017
18,030
45,594
Watu ukiwasikiliza story zao zimejaa uongo sana.

Elimu ya zamani na ya sasa hakuna utofauti wowote nasema, maana jaribu kuwaangalia hao waliosoma zamani, ni mambo gani wamelifanyia hili Taifa?

Nchi inakwama kwa kukosa watu wenye akili na fikra pana na sio Elimu, vijana wanalaumiwa bure tu.
 
Back
Top Bottom