Watanzania wenzangu kuna jambo linaniumiza sana kwenye nchi yetu Tanzania. Mimi ni Mtanzania kama vijana wengine wengi niliojaliwa kupata elimu lakini ina niuma kuona hakuna jitihada za kuboresha elimu kwa vijana wadogo Tanzania. Mimi nina maswali machache.
1. Je kwa nini sisi kama Watanzania tuna ruhusu shule ambazo zinafelisha wanafuzni hasa za private kila mwaka ziendele kupokea watowo wa Kitanzania.Shule ambazo zina division 4 na 0 nyingi kuliko 1,2 na 3.
2. Je ni kwa nini wazazi wanaendelea kupeleka shule Watoto , shule ambazo hazifaulishi?
3. Je serikali inautaratibu gani wa kuweka viwango vya shule? Ni kwa nini shule zinazofelisha mwaka nenda rudi zinaruhusiwa kuendelea kufundisha.
Imefikia wakati watoto masikini ni lazima wawe na kipaji cha juu kufanikiwa. Tunafahamu fika kwamba kama umetoka kwenye familia yenye uwezo hata kama una kipaji cha wastani unaweza kufika hadi PHD. Mimi inaniuma sana kwasababu hili ni Tatizo ambalo linaweza kutatuliwa na nina shangaa sana wanasiasa wanapuuza hili hasa ukizingatia wengi wao wametokea vijijini na wamefika walipo kwa bahati. Nchi yetu haitaendelea kama elimu itaendea kupuuzwa. Mimi ningezaliwa kwenye familia masikini ya kijijini sijui ningekuwa wapi sasa hivi?
Je ndugu zangu tujiulize nchi yetu inaenda wapi?
1. Je kwa nini sisi kama Watanzania tuna ruhusu shule ambazo zinafelisha wanafuzni hasa za private kila mwaka ziendele kupokea watowo wa Kitanzania.Shule ambazo zina division 4 na 0 nyingi kuliko 1,2 na 3.
2. Je ni kwa nini wazazi wanaendelea kupeleka shule Watoto , shule ambazo hazifaulishi?
3. Je serikali inautaratibu gani wa kuweka viwango vya shule? Ni kwa nini shule zinazofelisha mwaka nenda rudi zinaruhusiwa kuendelea kufundisha.
Imefikia wakati watoto masikini ni lazima wawe na kipaji cha juu kufanikiwa. Tunafahamu fika kwamba kama umetoka kwenye familia yenye uwezo hata kama una kipaji cha wastani unaweza kufika hadi PHD. Mimi inaniuma sana kwasababu hili ni Tatizo ambalo linaweza kutatuliwa na nina shangaa sana wanasiasa wanapuuza hili hasa ukizingatia wengi wao wametokea vijijini na wamefika walipo kwa bahati. Nchi yetu haitaendelea kama elimu itaendea kupuuzwa. Mimi ningezaliwa kwenye familia masikini ya kijijini sijui ningekuwa wapi sasa hivi?
Je ndugu zangu tujiulize nchi yetu inaenda wapi?