Habar zenu wadau
Mimi ni mwanafunzi nasoma Zanzibar University, mwaka wa pili 1[SUP]st[/SUP] degree katika combination ya biology chemistry (EDUCATION) na hiki kipindi tulichonacho tumekabiliwa na ufanyaji wa research hivyo naomba msaada wenu kuhusiana na procedures zote za kufuata kuanzia tangu kwenye uchaguz wa somo na topic (ni somo gan kat ya hayo niliyoyataja ni rahisi katika researh na topic gan ambayo ni very intrested ) pamoja na yale yote yanayohusika na shughuli hii.
Ahsanteni.
TOGETHER WE CAN
Mimi ni mwanafunzi nasoma Zanzibar University, mwaka wa pili 1[SUP]st[/SUP] degree katika combination ya biology chemistry (EDUCATION) na hiki kipindi tulichonacho tumekabiliwa na ufanyaji wa research hivyo naomba msaada wenu kuhusiana na procedures zote za kufuata kuanzia tangu kwenye uchaguz wa somo na topic (ni somo gan kat ya hayo niliyoyataja ni rahisi katika researh na topic gan ambayo ni very intrested ) pamoja na yale yote yanayohusika na shughuli hii.
Ahsanteni.
TOGETHER WE CAN