Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Ubongo wa kibonde unahajakubwa nilimskia akichafua hewa !
haaaa kumbe!! Hii nayo kali. Yani nyie bado mnahangaika na huyu jamaa? Tabia ya kuwapa watoto wenu majina ya ajabu madhara yake ndo haya sasa wewe ebu jiulize mwanao unapompa jina la KIBONDE unafikiri huyo mtoto ataacha kuwa KIBONDE.Ubongo wa kibonde unahajakubwa nilimskia akichafua hewa !
Mtangazaji wa Kituo Cha Redio cha CLOUDS FM, Bw. Efraim Kibonde ametoa ''kali ya mwaka'' pale alipojitosa mzima mzima kumsafisha Rostam Azizi kupitia kipindi chake cha Jahazi.
Bw. Kibonde alidai kua watu wanaacha kujadili maadui wa3 wanaojulikana ambao ni Ujinga, maradhi na umasikini wao wanabaki kujadili watu.
Kwa mujibu wa Bw. Kibonde, ni vyema kama kuna mtu anaehisi fulani ni mwizi basi akampeleka mahakamani kuliko kubaki kulalamika pembeni.
My Take;
1>Kibonde apuuzwe tu, kwani anafahamika ni puppet wa mafisadi akitumika kuwasafisha kupitia vipindi vyake Redioni.
2>Kibonde anathibitisha ukilaza wake kwa kuamini kua popote pale, katika mazingira yoyote yale na kwa wakati wowote ule, maadui ni hao watatu tu.
3>Kibode anatumia utetezi wa A-Ch kwamba mwenye ushahidi apeleke mahakamani au TAKUKURU huku akijua fika huko ndiko Rushwa imebobea
Kibonde ametumia haki yake ya kikatiba.
teh teh,kinda true! A name refrects alot about a person!haaaa kumbe!! Hii nayo kali. Yani nyie bado mnahangaika na huyu jamaa? Tabia ya kuwapa watoto wenu majina ya ajabu madhara yake ndo haya sasa wewe ebu jiulize mwanao unapompa jina la KIBONDE unafikiri huyo mtoto ataacha kuwa KIBONDE.
matatizo ya nchi hii ni unafiki!!!!? we kibonde......ndio na wewe kibonde kichwani nchi ina matatizo ya uchumi, umeme, elimu, afya, miundombinu, katiba, tume ya uchaguzi, utawala bora, maji, usalama wa raia.......... wewe wasema tatizo la nchi yetu unafiki!!!!!!! jipange unapotaka kutoa hoja, hatumsikilizi kibonde na vibonde wengine wowote kokote nchini.Msimhukumu kibonde alichokizungumza ni ukweli usiotakiwa na watu wengi, haiwezekane watu wajenge tabia ya kutuhumu watu kwa hisia zisizo na maana. Kibonde endelea kusema unachodhani ni sahihi. Tatizo la nchi hii ni unafiki. Ulichosema ni ukweli kama hao wanaotuhumu wenzao wanaushahidi mbona wasiwapeleke mahakamani?
wewe humjui kibonde pumba,au ameku2ma umtetee!!Msimhukumu kibonde alichokizungumza ni ukweli usiotakiwa na watu wengi, haiwezekane watu wajenge tabia ya kutuhumu watu kwa hisia zisizo na maana. Kibonde endelea kusema unachodhani ni sahihi. Tatizo la nchi hii ni unafiki. Ulichosema ni ukweli kama hao wanaotuhumu wenzao wanaushahidi mbona wasiwapeleke mahakamani?
Uko sahihi, anachoongea ndo kama anchoandika, havitofautiani, tumbo mbeleKibonde mimi namfananisha na Malaria Sugu!
Inasemekana Kibonde ana division zero 'O' wale wanaomfahamu au waliosoma naye watudhibitishie. ukimsikiliza hoja zake za kipuuzi unaweza kuaminishwa kuwa kweli ni zero huyo