Sabry001
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,064
- 353
and downstairs tooKibonde is sick upstairs
and downstairs tooKibonde is sick upstairs
Mtangazaji wa Kituo Cha Redio cha CLOUDS FM, Bw. Efraim Kibonde ametoa ''kali ya mwaka'' pale alipojitosa mzima mzima kumsafisha Rostam Azizi kupitia kipindi chake cha Jahazi.
Bw. Kibonde alidai kua watu wanaacha kujadili maadui wa3 wanaojulikana ambao ni Ujinga, maradhi na umasikini wao wanabaki kujadili watu.
Kwa mujibu wa Bw. Kibonde, ni vyema kama kuna mtu anaehisi fulani ni mwizi basi akampeleka mahakamani kuliko kubaki kulalamika pembeni.
My Take;
1>Kibonde apuuzwe tu, kwani anafahamika ni puppet wa mafisadi akitumika kuwasafisha kupitia vipindi vyake Redioni.
2>Kibonde anathibitisha ukilaza wake kwa kuamini kua popote pale, katika mazingira yoyote yale na kwa wakati wowote ule, maadui ni hao watatu tu.
3>Kibode anatumia utetezi wa A-Ch kwamba mwenye ushahidi apeleke mahakamani au TAKUKURU huku akijua fika huko ndiko Rushwa imebobea
Sikuwa msikilizaji sana wa Clouds. Yapata kama mwaka na kidogo hivi nikashawishika kuisikiliza hasa vipindi vya asubuhi kabla sijaingia mzigoni. Kwa kiasi nilianza kupenda pale walipokuwa "Critique" kwa watumishi wa uma au watu walioshika dhamana. Ukosoaji wao ulinishawishi kuamini kuwa ni sauti au radio ya watu. Nika-extend my hearing mpaka vipindi vya jioni. Huko nikakutana na kibonde. Haikunichukua muda mrefu kuwa fade-up na radio hiyo na kuacha kabisa kuisikiliza. Ilikuwa ni Kibonde, kama ambavyo nimesoma baadhi ya maoni hapo juu, ilikuwa dhahiri huyu mtu ameingia kwenye pay roll ya Mafisadi. Bila aibu wala haya, utamsikia akisifa vilivyooza na kunuka, na kuponda vinavyong'ara. Haihitaji akili nyingi kuacha kumsikiliza. Ndio maana huo utumbo ambao ameufanya leo nimeusoma humu jamvini. Siwezi kumpa hata sekunde yangu moja kumsikiliza. Hata pale anapojipendekeza kuwa MC kwenye matukio fulanifulani. Sio tu KUMPUUZA, bali KUTOKUMSIKILIZA kabisa. HANA ANCHOWEZA kukuelimisha.
Kibonde anasumbuliwa na side effects za ARVs anazotumia kwa hiyo siyo makosa yake.
Kuna siku atawatukana hata hao akina Kusaga na Ruge