Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
Wakuu napenda kuwakaribisha wale magwiji wa siasa za tz katika chama chetu kipya kabisa baada ya kupewa indiketa ya kutaka kujiondoa kabla ya kuondolewa katika chama chao cha awali: Chama cha magamba
chama chetu kipya (cck) ni chama cha wale wote wanaoshutumiwa katika maeneo tofauti tujiunge pamoja ili tuweze kufarijiana vizuri na kuweza kupata nafasi ya kujibu mashambulizi dhidi yetu na kutoa vijembe kwa wale wote ambao chama cha magamba wanaogopa kusema
uongozi:
M/kiti tutampa edward lowassa
katibu : Naziri karamagi
mhazini: Rostam azizi
mwanasheria wa chama: Andrew chenge
itikadi na uenezi: Sheikh yahya
propaganda: Yusuph makamba
kamati kuu itakuwa na wafuato:
1. Lawrence masha
2. Sophia simba
3. Zakaria kakobe
4. Hamis mgeja
5. Benno malisa
6. Ridhiwani jk
wadau mnaweza ongeza na kupunguza orodha
chama chetu kipya (cck) ni chama cha wale wote wanaoshutumiwa katika maeneo tofauti tujiunge pamoja ili tuweze kufarijiana vizuri na kuweza kupata nafasi ya kujibu mashambulizi dhidi yetu na kutoa vijembe kwa wale wote ambao chama cha magamba wanaogopa kusema
uongozi:
M/kiti tutampa edward lowassa
katibu : Naziri karamagi
mhazini: Rostam azizi
mwanasheria wa chama: Andrew chenge
itikadi na uenezi: Sheikh yahya
propaganda: Yusuph makamba
kamati kuu itakuwa na wafuato:
1. Lawrence masha
2. Sophia simba
3. Zakaria kakobe
4. Hamis mgeja
5. Benno malisa
6. Ridhiwani jk
wadau mnaweza ongeza na kupunguza orodha