I am Bless
JF-Expert Member
- Jul 23, 2017
- 231
- 517
Siasa ni ubabaishaji, vijana tutafute pesa tuachane na siasa, ku-concentrate na siasa ni kupuyanga,
Siku zote Muda ni Rafiki kama utautumia vizuri...Ukitaka kuishi kwa Amani bila ya Stress laa mbali na Siasa..Duuuuhh, kweli? Au jibu lako linaendana na wakati
Ilo lipo wazi ila Lowassa ameshapoteza ushawishi ndani ya ccm na ata nje yupo yupo tu hana jipya..
Kama aliweza kukatwa yeye sembuse Magufuli?
Hii ni faida kwa upinzani 100%.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akakimbia aibu ya kupigwa chini kasoma mwelekeo wa upepoKwahiyo CCM atagombea Uraisi? itafakari tena "revelation" yako!
Kwa umaarufu Lowasa anamzidi Ruge kwa mbali sanaKwa kweli, watu wameshasahau ya Ruge kabla hajazikwa.
Lowassa ana roho mbaya sana na kafanya makusudi ili kupunguza majadiliano mitaani, angetangaza hii siku ambayo hamna tukio lingine ishu ingejadiliwa hadi kwenye masomo ya hisabati shule ya msingi.
Ujio wa Lowasa CCM kwa sasa una faida gani katika uimara wa chama hicho? Je, ni upi mtizamo wa viongozi wa ngazi mbalimbali ndani ya chama hicho?
Je, kwa chadema Leo hii kuondokewa na Lowasa ni faida au hasara? Alikuwa na ushaeishi?
Kwa Mahakama na serikali, ujio wa Lowasa CCM hauwezi kuwa na viashiria vya rushwa hasa pale yatakapotolewa maelekezo ya kuhitimishwa kwa kesi ambazo zinawahusu ndugu na jamaa zake?
Kama ujio wake CCM utapelekea baadhi ya watu kutoka magereza, je haitaleta picha kuwa tumewaweka watu kwa sababu za kisiasa na hivyo kumfanya jaji mkuu na muhimili wake kuonekana unatumika kuwakandamiza wananchi wenye mrengo tofauti na serikali au chama tawala?
Daaaa kwa bandiko hili wale jama hawatatoka tena maana kilankitu kiko hadharni Halfu hivi Rostam na yeye vipi
Kweli aseSiku zote Muda ni Rafiki kama utautumia vizuri...Ukitaka kuishi kwa Amani bila ya Stress laa mbali na Siasa..
Siasa mbaya Sana!Hili swali hata mimi linanipa wakati mgumu sana.
Wanasiasa wote wanafik, wapo kwa maslahi yao binafsi na si maslahi ya wananchi kama tunavyojitahidi kuamini.
Watanzania, tusiuane na kujiumiza kwa kushawishiwa na viongozi wa siasa au eti kwa mapenzi ya chama. Hili ni fundisho kubwa sana.
Na haya mapambano ni ya wasiochokaTumekusikia sisi tunaendelea kupambana
JIWE ana wakati mgumu kuliko anavyofikiria kwani maadaui wake hawapo nje ya ccmYaani Jiwe kaamua kuwakomoa wale wote walio mkashifu
In God we Trust
Kabisa mkuuNa haya mapambano ni ya wasiochoka
Marekebisho kidogo, wimbo haukuanza kwa Chadema. Chadema waliitikia tu...wimbo ulianza kwa Kamati ya Mwakyembe ili kumlinda fisadi mkuu wa Richmond Jakaya Kikwete.Wimbo ulianza kwa chadema, hakuna kupinga. Kila pembe ilikuwa ni "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" alipokosa kuteuliwa kuwania urais wa tiketi CCM akajitoa CCM na kuhamia chadema, akapewa nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya chadema, ghafla chorus ya "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" ikawa inaimbwa na wana CCM.
Sasa karudi CCM nani ataiimba chorus hiyo?
Siasa ni mchezo mbaya sana.