Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,409
- 31,394
- Thread starter
- #541
COMEY AANDIKA BARUA NYINGINE
Director wa FBI kaandika barua nyingine akisema wamemaliza uchunguzi wa email katika laptop ya Anthony Weiner mumewe Huma Abiden.
Conclusion ni kuwa hakuna kilichoonekana kipya kinachobadilisha uamuzi wa July
Hii imekuja siku 2 kabla ya uchaguzi na siku 11 baada ya kuandika barua ya kwanza
Kwa mtazamo barua hii haimsaidia Clinton baada ya uharibifu uliofanyika wiki mbili zilizopita.
Tayari kuna maeneo yamefunga early voting ambazo definite zina makundi yaliyokuwa na misimamo kwa mtazamo wa indictment, corrupt na kila aina ya kauli
Wiki mbili Trump ametumia kauli ya Comey katika matangazo na katika mikutano.
Ilifika mahali watu wakasema kutakuwa na impeachment Clinton akichaguliwa.
Kwa ufupi damage aliyofanya Comey kwa Democrat na Clinton ni kubwa katika uchaguzi huu
Saga la Comey halijaisha kwani Dem wanaonekana kulivalia njuga na hasa baada ya barua ya pili
Wakati huo huo Trump anamlaumu Comey kwa kubadili msimamo.
Lakini hili haiwezi kulinganishwa na uharibifu alioufanya.
Kwa haraka tulikuwa tunaangalia Wachambuzi na wanasheria, Comey yupo katika wakati mgumu sana
Director wa FBI kaandika barua nyingine akisema wamemaliza uchunguzi wa email katika laptop ya Anthony Weiner mumewe Huma Abiden.
Conclusion ni kuwa hakuna kilichoonekana kipya kinachobadilisha uamuzi wa July
Hii imekuja siku 2 kabla ya uchaguzi na siku 11 baada ya kuandika barua ya kwanza
Kwa mtazamo barua hii haimsaidia Clinton baada ya uharibifu uliofanyika wiki mbili zilizopita.
Tayari kuna maeneo yamefunga early voting ambazo definite zina makundi yaliyokuwa na misimamo kwa mtazamo wa indictment, corrupt na kila aina ya kauli
Wiki mbili Trump ametumia kauli ya Comey katika matangazo na katika mikutano.
Ilifika mahali watu wakasema kutakuwa na impeachment Clinton akichaguliwa.
Kwa ufupi damage aliyofanya Comey kwa Democrat na Clinton ni kubwa katika uchaguzi huu
Saga la Comey halijaisha kwani Dem wanaonekana kulivalia njuga na hasa baada ya barua ya pili
Wakati huo huo Trump anamlaumu Comey kwa kubadili msimamo.
Lakini hili haiwezi kulinganishwa na uharibifu alioufanya.
Kwa haraka tulikuwa tunaangalia Wachambuzi na wanasheria, Comey yupo katika wakati mgumu sana