Duru za siasa: Uchaguzi Mkuu USA

COMEY AANDIKA BARUA NYINGINE

Director wa FBI kaandika barua nyingine akisema wamemaliza uchunguzi wa email katika laptop ya Anthony Weiner mumewe Huma Abiden.

Conclusion ni kuwa hakuna kilichoonekana kipya kinachobadilisha uamuzi wa July

Hii imekuja siku 2 kabla ya uchaguzi na siku 11 baada ya kuandika barua ya kwanza

Kwa mtazamo barua hii haimsaidia Clinton baada ya uharibifu uliofanyika wiki mbili zilizopita.

Tayari kuna maeneo yamefunga early voting ambazo definite zina makundi yaliyokuwa na misimamo kwa mtazamo wa indictment, corrupt na kila aina ya kauli

Wiki mbili Trump ametumia kauli ya Comey katika matangazo na katika mikutano.

Ilifika mahali watu wakasema kutakuwa na impeachment Clinton akichaguliwa.

Kwa ufupi damage aliyofanya Comey kwa Democrat na Clinton ni kubwa katika uchaguzi huu

Saga la Comey halijaisha kwani Dem wanaonekana kulivalia njuga na hasa baada ya barua ya pili

Wakati huo huo Trump anamlaumu Comey kwa kubadili msimamo.

Lakini hili haiwezi kulinganishwa na uharibifu alioufanya.

Kwa haraka tulikuwa tunaangalia Wachambuzi na wanasheria, Comey yupo katika wakati mgumu sana
 
COMEY AANDIKA BARUA NYINGINE

Director wa FBI kaandika barua nyingine akisema wamemaliza uchunguzi wa email katika laptop ya Anthony Weiner mumewe Huma Abiden.

Conclusion ni kuwa hakuna kilichoonekana kipya kinachobadilisha uamuzi wa July

Hii imekuja siku 2 kabla ya uchaguzi na siku 11 baada ya kuandika barua ya kwanza

Kwa mtazamo barua hii haimsaidia Clinton baada ya uharibifu uliofanyika wiki mbili zilizopita.

Tayari kuna maeneo yamefunga early voting ambazo definite zina makundi yaliyokuwa na misimamo kwa mtazamo wa indictment, corrupt na kila aina ya kauli

Wiki mbili Trump ametumia kauli ya Comey katika matangazo na katika mikutano.

Ilifika mahali watu wakasema kutakuwa na impeachment Clinton akichaguliwa.

Kwa ufupi damage aliyofanya Comey kwa Democrat na Clinton ni kubwa katika uchaguzi huu

Saga la Comey halijaisha kwani Dem wanaonekana kulivalia njuga na hasa baada ya barua ya pili

Wakati huo huo Trump anamlaumu Comey kwa kubadili msimamo.

Lakini hili haiwezi kulinganishwa na uharibifu alioufanya.

Kwa haraka tulikuwa tunaangalia Wachambuzi na wanasheria, Comey yupo katika wakati mgumu sana
Mkuu Nguruvi3 kwa Kiingereza wanasema the damage has been done and what has been done cannot be undone. Ni katika msingi huo, Democrats wamemshauri mgombea wao kutogusia hiyo issue na badala yake ajikite tu katika kampeni na kusonga mbele.
 
Mkuu Nguruvi3 kwa Kiingereza wanasema the damage has been done and what has been done cannot be undone. Ni katika msingi huo, Democrats wamemshauri mgombea wao kutogusia hiyo issue na badala yake ajikite tu katika kampeni na kusonga mbele.
Mjadala umehamia kwa Dir Comey

Kinachosemwa ni gross misconduct ya Comey iliyompa Trump nafasi ya kujadili , kutoa matangazo na kuzungumzia barua yake kama agenda.

Swali ni jinsi alivyokiuka kanuni za investigation kwa kutoa conclusion kabla ya hata kuona emails. Pili, ku interject hoja siku 9 kabla ya uchaguzi na tatu kuandika barua siku 2 kabla ya uchaguzi

Wachunguzi wa mambo wanasema kama aliweza kuchunguza in less than a week, nini kilimshinda kusbiri kama ilikuwa ni lazima ili zichambuliwe? Je, hakuona madhara kwa Clinton

Madhara

Wamarekani milioni 40 wameshapiga kura baadhi katika battle ground states kama Florida na NC
Hakuna anayejua ni wangapi walivurugwa na barua ya Comey hasa kundi la Independents

Independents kama ni 5,000 waliobadili msimamo idadi inatukumbusha nini kilitokea kwa Al Gore.

Pili, kampeni ya Clinton ilikuwa na point nyingi kwamba Hillary alikampeni kwa maseneta/congress Baada ya emails kampeni ilipoteza focus

Ukiangalia polls, Clinton hakupoteza lakini Trump ali gain sana na ku close the gap

Ahueni

Kampeni ya Clinton ina ahueni kutokana na damage kwa kuzingatia kuwa baadhi ya wapiga kura wana agenda zao na kutovutwa na emails.

Latinos is all about Ukuta na Trump. Kwao kura ni kuzuia Ukuta habari zilizopo wamepiga kura more than 100% ya 2012

Pili, kama kuna independent aliyekuwa anasubiri dakika za mwisho, uamuzi wake utakuwa umezuiwa na barua ya pili ya Comey, na utatoa fursa kwa yeye kufikiria upya kuhusu kura yake

Tatizo ni kuwa katika siku 2 wangapi watapata ujumbe huo ikiwa miaka 7 bado kuna wanaoamini Obama si Mmarekani kutokana na kauli za Trump na birth cert!

Kampeni yakataa kujadili
Kampeni ya Clinton imetumia busara kuliacha suala la barua ya pili ya Comey.
Hili kisiasa ni kuua hoja ya emails ambayp imemdhuru mara nyingi.

GOP wanataka iendelee kuwa agenda na ku derail focus ya Dem si kwasababu ya Trump bali kutoa fursa ya seneta na wabunge wao

Tunafuatilia
 
FBI naoana kama wanazidi kuchemka nadhani Mkurugenzi angeachia ngazi baada ya uchaguzi.
Comey tayari anaanza kuhesabu siku lazima kibarua chake kiote nyasi.

Wamejichanganya wenyewe kwa kufanya uchunguzi mara ya kwanza na wakatangaza kuwa hakuna kosa la jinai. Then wiki moja kabla ya uchaguzi wanatangaza kuitisha upya uchunguzi kinyume na taratibu... bora hata wangefanya uchunguzi wao kimya kimya na kutoa tamko baada ya kumaliza uchunguzi kuliko walivyoamua kutangaza kuanza uchunguzi halafu wanaambulia mikono mitupu.

Trump sasa amewageuzia kibao FBI kwamba nao ni sehemu ya "rigged system" sababu haiwezekani kwamba wamemaliza kuchunguza maelfu ya emails kwa muda mfupi hivypo.
 
Yaani akishinda HRC, ushindi wake hautanoga!! Maana tuhuma nyingi za kubebwa kwake bado ni mbichi mno. Na kibaya zaidi, huyu 'mama ' ana visasi, si mtu wa kuomba msamaha... kwa vyovyote lazima atawashughulikia wale wote anaodhani walimsumbua kwenye kampeini, endapo atabahatika kuingia ikulu. Na kuwashughulikia huko ndiko kutatimiza wasiwasi wangu wa kuiporomosha US kwa mwendokasi wa kutisha. Chakwanza kabisa atata ku'supress' Russia! Hili litaleta mtafutano na EU au hata NATO!!! Wananchi wengi wa Ulaya wanaumizwa na vikwazo dhidi ya Russia. Ndiyo maana dalili za mtafutano huo, ulikwamisha vikwazo vya' ziada ' dhidi ya Russia.
 
james-comey-fired-fbi-director-hillary-clinton-email-private-server-bill-president.jpg


President Bill Clinton (l) and Attorney General Janet Reno announce the firing of FBI Director William Sessions in 1993.

Under a United States statute that first went into effect in 1968, FBI directors are nominated by the president and must be confirmed by the Senate — a process similar to the nomination and confirmation of Supreme Court justices or presidential cabinet officials.

Unlike the justices, who are appointed for life and cannot be fired — but can be impeached by congress (which has happened only one time in American history) — or cabinet officials who have no set terms, the FBI director is appointed to a single term of 10 years.

The statute establishing the 10-year term limit was passed in 1976, four years after the death of legendary FBI director J. Edgar Hoover, who held on to the job for 48 years.

But according to a 2014 report by the Congressional Research Service, “there are no statutory conditions on the President’s authority to remove the FBI Director.” In other words, the President can indeed fire the FBI director. An FBI director can also be removed by congress, through the impeachment process.
Wakuu JokaKuu Mag3 AG J.Reno amefariki asubuhi hii baada ya ku battle Parkinsonism kwa muda mrefu
 
Kwa taarifa kuna large turnout Florida ambayo ni 103% ukilinganisha na early voters 2012

Florida ni diverse sana na hapa kuna hoja

1. Je, ni effect ya Walatino kwa Trump kwamba 'wanamwadhibu
2. Kuna Latinos Cubans ambao ni loyal kwa Trump kutokana na uhusiano mpya wa Cuba-USA
3. Kuna Latinos Puerto Rico ambao ni loyal kwa Hillary

Turn out bado inawachanganya wachunguzi wa mambo, nini hasa kinaendelea.
 
Turnout Nevada

Kulikuwa na watu wengi waliopiga kura hadi saa 4 usiku wakati vituo vimefungwa saa 1
Nevada kuna Latinos na ni state inayo lean Democrat

Trump na Republican mmoja wa Nevada wakasema kufungwa vituo na kura kuendelea kupigwa kunaonyesha system ilivyokuwa rigged.

Ukweli
Sheria zinasema mtu akiwa katika mstari na kituo kikafungwa, ataruhusiwa kupiga kura
Anayekatazwa kupiga kura ni yule anayekuja baada ya muda kufunga kufika

Hili limetokea NC ambapo mama mmoja alifika kituoni muda wa kufunga ukiwa umefika.
Hakuruhusiwa kupiga kura, ila mumewe aliyetangulia kama dakika 5 alikuwepo wakati kituo kinafungwa na aliruhusiwa kupiga kura

Update zinaendele
 
UCHAGUZI NA UCHUMI

Katika siku 9 zilizpita soko maarufu la mitaji la S&P lilipoteza thamani katika streak ndefu kwa miaka takribani 40. Dow J haikuwa katika hali nzuri iki trade below 18K

Wachunguzi wanaangalia barua ya Comey ya jana kama kichoche cha masoko kufura siku ya leo
Kwa sasa Dow ipo 341, NAS 116 S&P 43 Points.
Mwisho wa siku tutaangalia point za mwisho za masoko.

Hili linaeleza ukubwa wa siasa za Marekani na jinsi zinavyogusa maeneo mengi yawe ya kijamii, kiuchumi au kisiasa.
 
UCHAGUZI NA UCHUMI

Katika siku 9 zilizpita soko maarufu la mitaji la S&P lilipoteza thamani katika streak ndefu kwa miaka takribani 40. Dow J haikuwa katika hali nzuri iki trade below 18K

Wachunguzi wanaangalia barua ya Comey ya jana kama kichoche cha masoko kufura siku ya leo
Kwa sasa Dow ipo 341, NAS 116 S&P 43 Points.
Mwisho wa siku tutaangalia point za mwisho za masoko.

Hili linaeleza ukubwa wa siasa za Marekani na jinsi zinavyogusa maeneo mengi yawe ya kijamii, kiuchumi au kisiasa.
Pamoja na yote kuna mambo ya kuangalia katika majimbo ambayo miaka yote imeitwa battle ground states kwa sasa vita vimeelekezwa kwa yale majimbo ambayo ni crucial states. Kwa hali ilipofikia hivi sasa, siku moja kabla ya upigaji kura, mgombea wa Democrats, Hillary Clinton yuko vizuri kwa sababu moja tu, hana jimbo ambalo ni crucial kwa maana ya ulazima wa kushinda ili aweze kuwa Rais. Kwa mgombea wa Republicans, Donald Trump, mambo ni tofauti kidogo kwani karibu kila jimbo katika battleground states limekuwa crucial kwake ili aweze kushinda Urais.

Majimbo ambayo ni crucial kwa sasa kwa Donald Trump ni North Carolina, Nevada, Florida, New Hampshire, Arizona na Nebraska. Majimbo haya yote ni crucial kweli kweli kwa Donald Trump na anatakiwa ayashinde yote huku Clinton akitakiwa ama kushinda moja tu na hata asiposhinda matokeo chanya kwenye battle grouns states zingine nje ya hizi yanatosha kumpa ushindi katika uchaguzi huu. Ni kwa sababu hii anafanya kila jitihada aweze kupenya ngome ya Democrats kwenye yale majimbo ambayo kwa kawaida nafasi ya Republicans kushinda ni finyu.
 
Pamoja na yote kuna mambo ya kuangalia katika majimbo ambayo miaka yote imeitwa battle ground states kwa sasa vita vimeelekezwa kwa yale majimbo ambayo ni crucial states. Kwa hali ilipofikia hivi sasa, siku moja kabla ya upigaji kura, mgombea wa Democrats, Hillary Clinton yuko vizuri kwa sababu moja tu, hana jimbo ambalo ni crucial kwa maana ya ulazima wa kushinda ili aweze kuwa Rais. Kwa mgombea wa Republicans, Donald Trump, mambo ni tofauti kidogo kwani karibu kila jimbo katika battleground states limekuwa crucial kwake ili aweze kushinda Urais.

Majimbo ambayo ni crucial kwa sasa kwa Donald Trump ni North Carolina, Nevada, Florida, New Hampshire, Arizona na Nebraska. Majimbo haya yote ni crucial kweli kweli kwa Donald Trump na anatakiwa ayashinde yote huku Clinton akitakiwa ama kushinda moja tu na hata asiposhinda matokeo chanya kwenye battle grouns states zingine nje ya hizi yanatosha kumpa ushindi katika uchaguzi huu. Ni kwa sababu hii anafanya kila jitihada aweze kupenya ngome ya Democrats kwenye yale majimbo ambayo kwa kawaida nafasi ya Republicans kushinda ni finyu.
Kuna factors nyingine za kuangalia. Kwanza, blacks wamepungua katika early vote ukilinganisha na 2012. Kuna explosions ya Latinos ambayo haijaweza kuwa defined clearly
Kwa mfano, Nevada Trump anaongoza kwa point 6 kukiwa na Latinos wanaopiga kura kwa wingi, haileweki ni kwa Dem au ni kwa Trump lakini the surge is there

Jambo jingine, Democrat wameathirika na Comey kwa sehemu kubwa.
Hata hivyo, wameruhusu Trump acheze katika uwanja wao.
Michigan ni mfano mmoja ambapo kuna EV 16.

Hata kama Dem watashinda kama wanavyotarajia, bado wame attract wapinzani wao kuja eneo lao

Tatu, Dem wame miss opportunity. Georgia ni Red lakini inaonyesha wangekuwa competitive kama wangewekeza huko. Ndivyo ilivyo kwa Arizona na Utah.

Utah, Dem wanasaidiwa na Evans Mcmullin wangeweza kuweka kambi ina maana Trump angevuta nguvu kutoka maeneo mengine kwasababu hapasi kupoteza Red state achilia mbali ku sweep the board.

Pamoja na hayo Clinton anahitaji state moja tu bila kujali ukubwa wake.
Trump anahitaji battle ground state zote pamoja na ku flip up blue moja. Hapo ndipo pana ugumu
 
..Trump made it too dificult for himself.

..kwanza alipaswa kuacha kuwanyanyapaa jamjj ya Wahispanik. Hili ni kundi kubwa kuliko weusi. Wahispanik wakikupenda uwezekano mkubwa utashinda Uraisi wa Marekani.

..pili alitakiwa awe na mahusiano mazuri na Republican national party. Hawa wangemsaidia kifedha na ku-organise kampeni yake kuwa more conventional.

..sasa hivi Trump yuko peke yake lakini analeta shida namna hii. Vipi kama angekuwa na chama kizima cha Republicans nyuma yake?
 
SURA YA UCHAGUZI

Tukumbushe uchaguzi si idadi ya kura, bali viti (Electral vote) au EV katika state
Kuna solid and Red Sates ikimaanisha zinajulikana zitakuwa Republican au Democrat

Kuna state zitakazoamua nani awe Rais kwasababu hazitabiriki, hizo ndizo swing au battle states

Macho kesho yatakuwa katika state zifuatazo (Kundi 1)
Nevada EV 6
Florida EV 29
Ohio EV 18
NC EV 15
Hampshire EV 4
Pen state EV 20
Iowa EV 6

Halafu kuna state ambazo hazieleweki kutokana na hali ya uchaguzi
Utah EV 6 Hii ni kutokana na kuwepo kwa mgombea binafsi Evans M
Arizona EV 11 Kutokana na kuwa na Latino
Maine EV 2 Kutokana na kuwa na congressional district
Georgia EV 16 Kwasababu hii ni red state lakini kura za maoni zipo karibu sana
Michigan EV 29 , lead ya Clinton imepungua 11 hadi 4, ambayo ni within margin of error

Hizi zinaweza kuwa chafuzi tu kwa wagombea ingawa ni unlikely zinaweza kuwa na impact hiyo
Muhimu ni kundi la kwanza kwasababu hizi

Kwa mujibu wa track poll (si lazima ziwe sahihi) Magic number inayogombewa ni 270
Hillary Clinton anasimama na EV 268 na Trump 204

Kwa minajili ya mjadala the EV baseline ni 204, hivyo wagombea wanatakiwa kufikia 270
Kama polls na uchambuzi ni sahihi bila mishaps kutoka kundi la 2 hapo juu, then

Clinto akiwa na 268 atahitaji EV 2 kutoka popote kama New Hampshire EV au Iowa
Donald Trump 204 atahitaji EV 66 na hizo lazima zipatikane kutoka kundi la 1 hapo juu

Inaweza kuonekana ni mlima mrefu kwa Trump kupanda, lakini huu ni uchaguzi lolote laweza kutokea. Ingalikuwa rahisi kiasi hicho Clinton asinge kampeni

Kwa mfano, BREXIT ilibashiriwa ushindi UK kubaki EU. Kilichotokea kila mmoja anakijua
Kwanza, wengi hawakujitokeza kupiga wakiamini kambi ya Remain itashinda.
Kambi ya exit ikapiga kura na mwisho ikashinda

Pili, katika primaries Hillary Clinton alikuwa anaongoza kwa asilimia 9-11 Michigan. Kwa mshangao Bernie Sander akashinda

Tatu, hakuna aliyetarajia 2004 George Bush angerudi madarakani kwa kumshinda Kerry

Nne, kuna factors nyingi zinafanya kazi katika uchaguzi tutajadili bandiko lijalo

Inaendelea
 
Kampeni zimeisha...Donald Trump kamaliza saa 7:06 usiku (sawa na saa sita mchana Tanzania) na Hillary Clinton kamaliza saa 7:10 na kilichobakia sasa ni upigaji wa kura. Wote wamewaomba wapenzi wao wapate usingizi mfupi kabla ya kuamka na kuelekea vituo vya kupiga kura.
 
Back
Top Bottom