magode
JF-Expert Member
- Oct 2, 2014
- 2,201
- 3,322
Kwa siku hizi chache za majeruhi zilizobaki ngoja me niwe msomaji tu. Nahisi nta-enjoy zaidi. Tuko pamoja wadau wote Nguruvi3 Mag3 joka kuu Mwalimu Freeland na wengine wote ambao tumekuwa pamoja ktk kujifunza na kufuatilia huu uchaguzi wa Taifa lenye nguvu kubwa kabisa Duniani. Ntarudi baada ya uchaguzi!