Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,409
- 31,394
- Thread starter
- #261
MPANGILIO WA MADARAKA
Mabandiko ya nyuma tumeeleza wajibu wa Congress na Senate katika uchaguzi baada ya electoral college kumaliza kazi. Ni January 6 Congress na Senate zinakutana
Watakapokutana kutakuwa na makundi mawili kila eneo. Wapo Congressmen and women wanaoendelea na mwaka wa 3 ambao waliochaguliwa katika midterm election 2014.
Wapo wapya wataingia kwa kurudi au mara ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa Senate
Hawa watamchagua Spika na Senate majority Leader. Tunasema hivi kwasababu kipindi cha January 6 hadi linaweza kutokea jambo lisilo tarajiwa Rais na VP wakawa incapacitated, yaani hawamudu majukumu.
Kuelekea Janury 20 ikitokea hivyo, Spika ndiye anayefuata kwa madaraka
Kwa Marekani, madaraka yana ngazi zifuatazo
Rais, VP, Spika, Secretary of states, Sec of treasury, Sec of defence na kuendelea
Mpangilio wao upo wazi kwa kila dharura inayotegemewa isiyotegemewa, inayotokana na mambo ya kisiasa au vinginevyo
Hili ni kuhakikisha kuwa kwa wakati wote hakuna ombwe la uongozi (Power vacuum) na taratibu za kujaza nafasi zimeainishwa kisheria si suala la kubuni tu au kuvunja katiba
KWANINI TUMEELEZA HAYA
Tumeyaeleza kutokana na hoja kama ilivyoletwa na mwenzetu magode ambayo imefungua sana upana wa mjadala wetu
Muhimu sana ni kuonyesha jinsi wenzetu walivyo na mipangilio katika mambo yanayowahusu ya kisisasa , kijamii na kiuchumi hasa upatikanaji wa viongozi
Tukiri kuwa pamoja na kujaribu kuyaweka katika lugha rahisi ya kwetu, mchakato mzima ni mgumu kueleweka kiurahisi hata kwa sehemu kubwa ya Wamarekani wenyewe.
Sheria na taratibu zao zingine zinahitaji weledi wa mambo ya kisheria
Tukiangalia na sisi hapa, kuna tatizo kubwa sana. Tuchukulie mfano mmoja rahisi.
Tatizo la ZNZ limechagizwa na sheria zilizowazi zinazotoa ruhusa ya kukiukwa na viongozi kutofuata sharia hizo. Kulikuwa na ombwe la uongozi baada ya matokeo kufutwa
Hakuna anayeeleza sheria iliyofuta matokeo, hakuna anayeeleza nani alikuwa Rais baada ya mgogoro kwakuwa sharia inasema muda wake ulikwisha.
Hakuna sheria inayoeleza katika hali hiyo nini kinafuata.
Hakuna sheria iliyoziba mianya ya ombwe la uongozi inapotokea
Hatuna chaguzi zinazobakiza wajumbe wa baraza la kutunga sharia(Bunge au wawakilishi) kama ilivyo vipindi viwili vya US.
Hivyo, kulikuwa na mhimili mmoja tu wa Sheria ZNZ , hakukuwa na BLW wala Serikali.
Utaratibu wa US umetengenezwa miaka Zaidi ya 200 iliyopita na watu walioiangalia Marekani kama Taifa na wala si Democrat au Republican.
Hili ndilo tunatakiwa tujifunze,kwamba tunapoandika katiba uroho na ulafi wa masilahi yetu usiweke vizazi vijavyo katika wahka usio na ulazima
Ni lazima waafrika tujifunze kuangalia mbele, kuheshimu sheria, kuziandika kutokana na makosa au matukio na kuzisimamia kama zilivyo.
Bila hivyo tutabaki kuwa bara la giza kila karne
Tusemezane
Mabandiko ya nyuma tumeeleza wajibu wa Congress na Senate katika uchaguzi baada ya electoral college kumaliza kazi. Ni January 6 Congress na Senate zinakutana
Watakapokutana kutakuwa na makundi mawili kila eneo. Wapo Congressmen and women wanaoendelea na mwaka wa 3 ambao waliochaguliwa katika midterm election 2014.
Wapo wapya wataingia kwa kurudi au mara ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa Senate
Hawa watamchagua Spika na Senate majority Leader. Tunasema hivi kwasababu kipindi cha January 6 hadi linaweza kutokea jambo lisilo tarajiwa Rais na VP wakawa incapacitated, yaani hawamudu majukumu.
Kuelekea Janury 20 ikitokea hivyo, Spika ndiye anayefuata kwa madaraka
Kwa Marekani, madaraka yana ngazi zifuatazo
Rais, VP, Spika, Secretary of states, Sec of treasury, Sec of defence na kuendelea
Mpangilio wao upo wazi kwa kila dharura inayotegemewa isiyotegemewa, inayotokana na mambo ya kisiasa au vinginevyo
Hili ni kuhakikisha kuwa kwa wakati wote hakuna ombwe la uongozi (Power vacuum) na taratibu za kujaza nafasi zimeainishwa kisheria si suala la kubuni tu au kuvunja katiba
KWANINI TUMEELEZA HAYA
Tumeyaeleza kutokana na hoja kama ilivyoletwa na mwenzetu magode ambayo imefungua sana upana wa mjadala wetu
Muhimu sana ni kuonyesha jinsi wenzetu walivyo na mipangilio katika mambo yanayowahusu ya kisisasa , kijamii na kiuchumi hasa upatikanaji wa viongozi
Tukiri kuwa pamoja na kujaribu kuyaweka katika lugha rahisi ya kwetu, mchakato mzima ni mgumu kueleweka kiurahisi hata kwa sehemu kubwa ya Wamarekani wenyewe.
Sheria na taratibu zao zingine zinahitaji weledi wa mambo ya kisheria
Tukiangalia na sisi hapa, kuna tatizo kubwa sana. Tuchukulie mfano mmoja rahisi.
Tatizo la ZNZ limechagizwa na sheria zilizowazi zinazotoa ruhusa ya kukiukwa na viongozi kutofuata sharia hizo. Kulikuwa na ombwe la uongozi baada ya matokeo kufutwa
Hakuna anayeeleza sheria iliyofuta matokeo, hakuna anayeeleza nani alikuwa Rais baada ya mgogoro kwakuwa sharia inasema muda wake ulikwisha.
Hakuna sheria inayoeleza katika hali hiyo nini kinafuata.
Hakuna sheria iliyoziba mianya ya ombwe la uongozi inapotokea
Hatuna chaguzi zinazobakiza wajumbe wa baraza la kutunga sharia(Bunge au wawakilishi) kama ilivyo vipindi viwili vya US.
Hivyo, kulikuwa na mhimili mmoja tu wa Sheria ZNZ , hakukuwa na BLW wala Serikali.
Utaratibu wa US umetengenezwa miaka Zaidi ya 200 iliyopita na watu walioiangalia Marekani kama Taifa na wala si Democrat au Republican.
Hili ndilo tunatakiwa tujifunze,kwamba tunapoandika katiba uroho na ulafi wa masilahi yetu usiweke vizazi vijavyo katika wahka usio na ulazima
Ni lazima waafrika tujifunze kuangalia mbele, kuheshimu sheria, kuziandika kutokana na makosa au matukio na kuzisimamia kama zilivyo.
Bila hivyo tutabaki kuwa bara la giza kila karne
Tusemezane