Duru za siasa: Uchaguzi Mkuu USA


Na sisi hapa Tanzania tunao mashabiki kama hawa wa Trump...kazi kweli kweli!

Trump campaign chair in Ohio county resigns after making racially-charged comments

Kathy Miller, the chair of Trump's campaign in Mahoning County, Ohio resigned Thursday, according to a statement from the Trump Ohio campaign. The resignation comes after Miller made racially-charged remarks to The Guardian.

On Thursday morning, Miller said that there was "no racism" before Obama. She made the inflammatory comments to The Guardian's Anywhere but Washington series, when she said, "If you’re black and you haven’t been successful in the last 50 years, it’s your own fault. You’ve had every opportunity, it was given to you."

She further charged, “You’ve had the same schools everybody else went to. You had benefits to go to college that white kids didn’t have. You had all the advantages and didn’t take advantage of it. It’s not our fault, certainly.”

The Ohio campaign statement read, "Our county chairs are volunteers who signed up to help organize grassroots outreach like door-knocking and phone calls, they are not spokespeople for the campaign. I have accepted Kathy Miller's resignation as the Mahoning County chair in light of these inappropriate comments."

Miller also referred to the Black Lives Matter movement as "a stupid waste of time" and suggested lower voter turnout among blacks has to do with "the way they were raised."

The Ohio campaign statement included what it said was a statement from Miller apologizing for her comments, saying they were inappropriate and that she is not a campaign spokesperson, and was not speaking on its behalf.

Tracy Winbush will replace Miller as Mahoning County campaign chair, according to the statement. She will also be the elector for the electoral college.
 
Mag3 kampeni ya Trump inahangaika sana na watu wa rangi. Wakati wa kampeni za awali za Republican (primaries) halikumsumbua kwasababu weupe ndio waliaomua nani awe mgombea

Uchaguzi mkuu hali ni tofauti. Mgombea anashinda kwa majimbo na viti (electoral college)

Ingawa weupe ni wengi Marekani watu wa rangi wanafanya tofauti kutokana na hali mbali mbali

Labda kwa kukumbusha tu, mgombea anaweza kushinda popular vote na bado asiwe Rais

Bill Clinton alishinda U-Rais bila popular vote kama ilivyokuwa Al Gore kushinda bila kuwa Rais.

Trump akitazama ramani hana budi kuwaangukia watu wa rangi.

Kuna maeneo wataamua nani anashinda jimbo husika. Tuchukulie mfano Philladephia .

Ili kushinda Penny state ni lazima kushinda Philly. Kwa tawimu za 2014, weupe ni 45% .

Makundi mengine kama black, Asia, Native America na Latinos wanatengeneza asilimia zilizobaki

Kwa machanganuo, black ni 44%, Latino ni 13% Asia 7%, 3% mixed race na native 0.8

Hii maana yake ni kuwa ili kushinda Penny lazima aungwe mkono na watu wa rangi hasa black

Ndiyo maana amekuwa mnyenyekevu kwao kwa kauli za siku za karibuni

Alichoongea huyo kampeni meneja ndiyo true color ya kampeni yake.

Katika kujikosha imemlazimu kampeni meneja ajiuzulu

Suala la rangi na jinsi yataingia katika mdahalo wa Jumatatu tutakaoujadili punde

Tusemezane
 
MDAHALO WA UCHAGUZI JUMATATU

Kwa mara ya kwanza katika uchaguzi huu kutakuwa na mdahalo wa wagombea wa vyama
Mdahalo huu unawakutanisha watu wawili wenye sifa tofauti katika wakigombea Urais

Trump, mfanyabiashara maarufu hajawahi kuteuliwa au kuchaguliwa katika nafasi ya kisiasa nchini

Trump alishinda uchaguzi wa awali baada ya kuwabaga nje manguli wa siasa za Washington au wenye uzoefu wa siasa katika ngazi za ugavana

Mrs Clinton ambaye ameshika nyadhifa za useneta na secretary of sates katika serikali ya Marekani
Clinto alikuwa ni first lady wa nchi hiyo kabla ya kujitosa katika kinyangèanyiro
Tofauti na Trump, Clinton alipata upinzani wa Bernie Sanders pekee

Kuelekea mjadala, Clinton amechukua muda kampeni ili kujinoa,Trump akiendelea na kampeni

Mdahalo huu pia utakutanisha watu wawili wenye personality tofauti.

Clinton aliyekuwa katika angaza siasa na mbele ya vyombo vya habari akifafanua kuhusu utendaji wa serikali. Trump ni mfanyabiashara ambaye pia ni maarufu katika vipindi vya TV

FAIDA NA HASARA MIONGONI MWAO (advantage and disadvantage)

Clinton: Anaandamwa na hoja za kutoaminika na kukosa ushawishi kwa sehemu ya makundi
Trump: Anaandamwa na hoja za ujeuri(arrogance) kwa rangi na jinsia

Clinton: Ana uzoefu katika Nyanja za kimataifa na za kitaifa kutokana na nafasi alizoshika
Trump: Ana uzoefu katika biashara zake binafsi

Clinton: Anakubalia na makundi ya rangi, wasomi wa kati na juu pamoja na jinsia ya kike
Trump: Anakubalika na makundi ya weupe, wasio na elimu na ana tatizo la watu wa rangi

Clinton: Amekuwa katika utawala na wasifu wake unapatikana kirahisi na kumfanya vulnerable
Trump: Hana rekodi ya utawala na kumpa fursa ya kuonekana ni wazo jipya la utawala

Inaendelea..
 
Clinton: Rekodi yake inaonyesha kutobadili misimamo mara nyingi kuhusu masuala ya kitaifa
Trump: Rekodi inaonyesha kubadili misimamo yake kutokana na hali ilivyo, na ni mara nyingi

Clinton: Ana advantage ya kushiriki midahalo mingi kuanzia 2008
Trump: Ana advantage ya kujua nini audience hasa watazamaji wa TV wanataka kusikia

Clinton: Ana adv ya kuwa pamoja na Rais aliyeko madarakani, na ana disadv ya kuhusishwa na maamuzi
Trump: Ana advantage kubwa ya utohusishwa na maamuzi yoyote ya utawala na hivyo kuwa huru Zaidi

Kwa kutazama hayo machache kwa ujumla, kuelekea mdahalo wa kesho kuna mambo kadhaa yanajitokeza
Kwa upande wa Clinton, amechukua wiki nzima kujinoa katika kuimarisha taswira yake.
Kazi yake ni ku appeal kwa kundi hasa la vijana linaloonekana kutohamaisika

Watu wanataka kumuona akiwa 'presidential' na kwamba uzoefu wake anautumia vema
Kuelekea mdahalo taswira iliyopo ni kuwa yeye anaongoza, kwa kutumia uzoefu wake wa midahalo na uongozi. Hili linamweka mahali pagumu sana, kwani kila anachoongea kitakuwa scrutinized na kikiwa nje ya ukweli tayari itakuwa doa kwake

Pamoja na hayo, Clinton anakabiliwa na suala la emails linalojirudia kila mara licha ya kukiri kuwa ilikuwa ni makosa. Wiki hii imetoka nyaraka nyingine ikimhusisha mtaalam wa IT na kufutwa kwa emails

Suala la ulinzi na usalama lililoanza kutokana na mashmabulizi ya kigaidi yanayoendelea linahusishwa na uhdaifu wa serikali ambayo Clinton ameitumikia. Hoja hiyo inatumiwa na Republican licha ya ukweli kuwa mashambulizi hayo ni ya watu binafsi 'lone wolf'

Kazi ya Clinton itakuwa kujenga taswira yake kwa kutumia mambo mazuri ya Obama kama alivyoanza kutumia suala la Osama. Anadai wakati akiwa serikalini, alishiriki maamuzi mengi ya kiulinzi na usalama

Wakati huo huo anatakiwa ajitenge na Obama kwa yale yaliyoshindwa. Suala la Libya na Syria litakuwa katika mjadala kwa namna yoyote iwavyo.

Kwa upande wa uchumi, namba zinamsaidia. Uchumi bado ni dhaifu lakini machache yaliyofikiwa yanaweza kumsaidia kujenga hoja.

Maandalizi ya Clinton kwa sehemu kubwa ni kuangalia maeneo yenye uharibifu ili ayafanyie damage control. Kwa uapnde wa specifics hizo anazo kutokana na miahalo iliyopita.

Je, Trump anasimama wapi katika mdahalo wa kesho?

Inaendelea
 
Trump
Faida aliyo nayo ni kuwa anaenda katika mjadala akiwa 'underdog'

kwamba hana uzoefu wa masuala mengi ya kiserikali na kiuchumi licha ya kuwa mfanya biashara.
Hivyo umma utampa benefit f doubt kwavile hajawa insider wa Washington.

Makosa yake hayataangaliwa sana kama point atakazo score.

Inahitaji pointi chache tu, kwa watu kufanya majumuisho yeye ni bora. Hili litamsaidia

Tunaona maandilizi yake ni ya muda mfupi, kwa maana ni underdog na watu hawatarajii makubwa

Hasara aliyo nayo ni jazba. Akiwa katika mjadala na mwanamke wa kwanza katika nafasi hiyo, Trump aangalie lugha.

Lolote hata la kawaida litahusishwa na gender na kuondoa sehemu ya kuungwa mkono

Lakini pia ana utata 'controversy' kuhusiana na mambo ya jinsia.
Ameshakuwa katika mtafaruku na akina mama mara nyingi n.k.

Tatizo jingine ni utata wa kauli dhidi ya makundi ya watu wa rangi anayojaribu kuyafikia

Kauli atakazotoa zinatakiwa zisiwe na utata kwani mdahalo utahitimisha misimamo yake

Kubwa kwa Trump ni 'specifics' za hoja za ulinzi na usalama, uchumi na jamii

Karika primaries hakuna aliyelewa nini hasa plan za Trump kuhusu msuala kadhaa

Trump alitumia nafasi hiyo, kuwakashfu, kejeli na kuwadharau wenzake.

Mdahalo wa kesho ni tofauti kabisa, lazima atarajie kuwa na specifics.

Akiongelea ulinzi na usalama anapaswa kusema atafanya nini tofauti na siku za nyuma.

Akiongelea uchumi anatakiwa awe na takwimu za kumsaidia.

Mambo ya jamii na wajawazito, childcare n.k. zitahitai details

Eneo la specifics ndilo alilo vulnerable kama atabanwa na moderators

Advantage nyingine ya Trump ni kuwa amebadilisha na kuongopa au kupotosha sana.

Kwavile hakutakuwa na fact checks, atakachoongea kitapokelewa kama ukweli.

Clinton kampeni ina hofu na suala hilo sana, kwani watazamaji mamilioni wanaweza kuchukua kauli za Trump kama ukweli. Kwa mfano, Trump anasema alipinga vita ya Iraq, ukweli ni kuwa aliunga mkono

Rejea nyuzi ya Mag3 [HASHTAG]#281[/HASHTAG] kuona flip flop, na hilo ni advantage kwake kwani wengi hawana muda wa 'fact check' na disadvantage kwa Clinton kwasababu hakuna atakayejua nini position ya Trump katika masuala mbali mbali.

Inaendelea.....
 
KAMBI ZAPINGANA KUHUSU 'FACT CHECK'

Msimamizi wa midahalo ya Urais Marekani amesema kazi ya moderator wa mdahalo si kuangalia ukweli au uongo. Kasema moderator hana sababu ya kuwa 'encyclopedia Britannica'

Hili ni baada ya kambi mbili kutofautiana kuhusiana na nini moderator afanye

Kambi ya Clinton inasema Trump ameongopa sana kuhusu masuala kadhaa

In fact kuna taasisi ilifanya utafiti kidogo na kuja na matokeo kuwa kwa wiki moja iliyopita Trump ameongea ima uongo au upotoshaji kila baada ya dakika tatu

Kambi ya Clinton inaona kuwa katika mdahalo unaotarajiwa kuwa na rekodi ya watazamaji, kumwacha Trump azushe au apotoshe kutampa nafasi ya ghilaba kwasababu wengi hawana nafasi ya fact check.

Kambi ya Trump inasema, moderator wasifanye fact check.
Wanajua Trump atakuwa na wakati mgumu katika kusahihisha kauli zake tata.

Kuelekea mdahalo wa leo, kuna personality mbili tofauti na hilo ndilo linavutia wengi. Hii haina maana kuna wagombea wazuri wawili, bali kuna watu wawili wanatazamwa kwa macho yenye hisia tofauti

Kuna kura za maoni zinaonyesha wengi wana Imani kuwa Clinton ataibuka kidedea. Hili linakuja na gharama kubwa sana kwa Hillary.

Kwanza, kutetea rekodi yake ya utendaji ambayo lazima ihusishe mambo ya emails na foundations

Pili, kutetea rekodi ya kwanini democrats wapewe tena nafasi ya kuongoza, jambo lisilo la kawaida US

Tatu, kuondoa wasi wasi kwa wale wenye mashaka na wasemao haaminiki

Nne, kutia hamasa kwa kundi lililo baridi hasa kwa vijana

Tano, kuonyesha yeye yupo tayari kama Rais

Sita, kuonyesha udhaifu wa Trump katika suala analosema la 'lack of temperament'

Wenyewe wanasema 'the bar is too high' kwa Clinton

Trump anakwenda kama underdog na wengi hawatarajii mengi kama wanayotarajia kwa Clinton
Naye ana kazi katika maeneo yafutayo

Kwanza, kuwaondoa wasi wasi Republican wanaoona si chauo sahihi kwa chama chao

Pili, Kusimamia hoja za Republican. Hapa kuna tatizo la flip dlop zake

Nne, kuleta kundi la watu wa rangi linalomsumbua kwa kiasi kikubwa

Tano, kucheza salama na Clinton isionekane ni suala la jinsia, asiamshe hisia za rangi na asitupe thamani za Republican

Kwa vile hana public record,'' the bar is low '' kwake na anahitaji just few strikes kuvuta watu kwa ushindi

Tofauati na wengi wanavyodhani kuwa hili ni rahisi kwa Bi Clinton, ukweli ni kuwa kazi aliyo nayo ni nzito sana. Si kukabiliana na Trump bali kuushawishi umma vinginevyo na kwanini Dem wapewe tena nchi

Tusemezane
 
Ngoja kwanza mdahalo baada ya hapo ndo ntasema nilichokuwa nataka kusema..!! Mkuu Mag3 anatuponda sisi team trump. Me nasema ukweli,ntamuunga mkono trump mpaka sekunde ya mwisho kwa sababu sijawahi kuwaamini wanawake ktk mambo makubwa.
 
Ngoja kwanza mdahalo baada ya hapo ndo ntasema nilichokuwa nataka kusema..!! Mkuu Mag3 anatuponda sisi team trump. Me nasema ukweli,ntamuunga mkono trump mpaka sekunde ya mwisho kwa sababu sijawahi kuwaamini wanawake ktk mambo makubwa.
Ha ha haaa magode, huwaamini wanawake katika mambo makubwa...sawa bwana! Lakini naomba nikuulize, je kuna sababu yoyote nyingie zaidi ya hii?
 
web1_ap_16269554135221_7090253.jpg

Chumba cha mdahalo kitakavyokuwa siku ya leo...!

BBwCIZ8.img
 
clinton-trump-holt.jpg

Trump (mgombea wa Republicans), Holt (moderator) na Clinton (mgombea wa Democrats)

Holt is best known as the anchor of weekday edition of the NBC Nightly News and Dateline NBC.​
Holt, a native of Bay Area California is the first African-American solo anchor of a weekday network nightly newscast.​
 
Ha haa haaaa!! Nimeangalia mdahalo mpaka nimejikuta namuonea huruma bi clinton. Trump akiwa anaongea anajiamini sana,anaongea hana pressure kabisa mpaka anavutia..!! Ngoja nisubiri tathimini ya nguruvi3.
 
Ha haa haaaa!! Nimeangalia mdahalo mpaka nimejikuta namuonea huruma bi clinton. Trump akiwa anaongea anajiamini sana,anaongea hana pressure kabisa mpaka anavutia..!! Ngoja nisubiri tathimini ya nguruvi3.
Duh, huo uliokuwa unauangalia ni mdahalo wa wapi? Kama ni huo huo niliouangalia ukweli ni huu...Trump kam-interrupt Clinton zaidi ya mara 50, kanywa maji zaidi ya mara 10, ka-sniffle zaidi ya mara 20, kasema uongo zaidi ya mara 15, kashindwa kujibu swali zaidi ya mara 12, kafinya uso zaidi ya mara 30...

Hizi ni baadhi ya comments kutoka kwa wadau mbali mbali kwenye twitter...
  • Trump seems increasingly childish and @HillaryClinton seems like a grown-up.
  • Did that fool [HASHTAG]#DonaldTrump[/HASHTAG] Really just say,"he has a better temperament than @HillaryClinton"!??
  • This [HASHTAG]#PresidentialDebate[/HASHTAG] this has been a fight between a President and a drunk uncle at Thanksgiving.
  • The World's Smartest woman is debating against the Breitbart comments section.
  • Yaaaasss @HillaryClinton now u are nailing him! Yes he asked @missuniverse to lose weight
  • He does a lot of talking about stuff that's happened. But doesn't seem to talk about what he would do.
  • If I wanted to spend 90 minutes listening to garbage I would have put on a creed cd
  • Dude, [HASHTAG]#Donald[/HASHTAG], out of every bit of idiocy you've spouted tonite, I think yr temperment is the biggest losing topic u have
  • This is DEPRESSING........... I need some cigarettes & I don't even smoke!!!!!!
  • Did he seriously just complain about someone not being nice to him? Have you been to any of your rallies @realDonaldTrump
  • She doesn't have the stamina to be prez? Don you're a out of shape 70 yr old with the sniffles. It's not
Ha ha haa magode!
 
Back
Top Bottom