Kintiku inaonyesha upeo wako ni mdogo sana. Haya ni masuala ya taaluma !Kutoka Aljazeera (EA) to Mwananchi Com, anyway makao makuu yote yako Nairobi..............................
safi sana mwana mapinduzi wa ukweli. tutegemee habari za ukweli bila kuchakachua
Wadau, taarifa nilizozipata punde ni kwamba, Mkurugenzi wa zamani wa TBC, Dunstan Tido Mhando ndiye amelamba ajira ya Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications limited na kwamba anatambulishwa rasmi kesho Ijumaa.Mhando anachukua nafasi ya Sam Sholei aliyemaliza muda wake mwaka jana.
sasa tido tuanze na ccm baada tu ya kuingia ofisini..tuhakikishe kuwa wanajua sisi ni akina nani.hili ndilo jembe.