Dunstan Tido Mhando Mkurugenzi Mpya Mwananchi Communications Limited

As matter of fact, alitakiwa kuwa na media house yake given uzoefu na exposure aliyonayo vinginevyo sio sahihi kuendelea kuajiliwa kwa umri wake. Some thing is wrong kwa huyu mzee na wazee wengine wa wazamani, wamepiga sana hela na hata biashara serious wameshindwa kuanzisha matokeo yake wahindi wanaanzisha kila kitu na wao wanaajiriwa tena.
Hatari yake imedia imeshikwa na watu wasi stahili.

Haya mwenzetu hebu tufahamishe una shughuli gani yakutolea MFANO, ili na sisi tuje tukajifunze kutoka kwako? Unajuwa kibinadamu ukiona watu wengi wanampongeza mtu, basi hata kama unataka kum-critisize una-hold your FIRE mpaka hapo baadae na inakuwa even better ukimu-address yeye mwenyewe in CAMERA au E-Mail.

Wana JF wengi wanampa ongera TIDO wewe tu ndiyo unamuona kapotoka - kwani unafikili TIDO anaganga njaa! Kumbuka watu wengine wana hulka ya kupenda sana fani zao bila kujari UMRI. Huko sahihi kwa kuwa-concern waswahili kushindwa kuanzisha media house ZETU, si hilo tu hata viwanda; kumbuka hivyo vyote vinahitaji mtaji mkubwa sana kufanikisha.

Mimi nina uhakika kwamba, tukiwa na ushirikiano na mitaji ya kutosha, yote yanawezakana kinacho hitakija ni commitment na kuwa focused,tusisahau kujifunza kutoka kwa wenzetu wa bara la ASIA waliofanikiwa sana.
 
safi sana mwana mapinduzi wa ukweli. tutegemee habari za ukweli bila kuchakachua

Duh! Jamaa atafia kazini. Inaelekea hakufanya savings za kutosha na ndiyo maana haishi kuruka ruka kutafuta deiwaka. The guy is in his seventies na hafikirii kupumzika na kufufua mashamba yake huko Handeni!
 
Wadau, taarifa nilizozipata punde ni kwamba, Mkurugenzi wa zamani wa TBC, Dunstan Tido Mhando ndiye amelamba ajira ya Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications limited na kwamba anatambulishwa rasmi kesho Ijumaa.Mhando anachukua nafasi ya Sam Sholei aliyemaliza muda wake mwaka jana.

Ni mkakati wa Lowasa kumweka mtu wake kwenye vyombo vya habari makini. Anaandaliwa kuwa kiongozi wa kurugenzi ya mawasiliano Ikulu. Kumbuka walivyoweza kuteka rai kwa kumtumia Salva. Ametangulizwa mwananchi akamsafishie njia.
 
Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (mcl), imemteua mwandishi wa habari mkongwe barani Afrika, Bwana Dustan Tido Mhando kuwa mkurugenzi Mtendaji mpya wa kampuni hiyo.

Tido alianza rasmi jana, muda mfupi baada ya kumalizika hafla ya kumkaribisha, iliyofanyika katika ofisi za kampuni hiyo zilizoko Tabata Relini jijini Dar es Salaam.

Tido anachukua nafasi hiyo iliyokua ikishikiliwa na Mkurugenzi mtendaji wa MCL, Sam Sholei ambaye mkataba wake wa kazi ulimalizika mwishoni mwa mwaka jana. Shollei kwa sasa ni mmoja wa wakurugenzi wa kampuni ya Nation Media Group (NMG).
Tido.jpg
 
Kwa kweli kitendo hiki kimeniudhi sana
mimi nilifikiri mtu kama tido kuwa angeanza harakati za kuanzisha media house ya kwake badala ya kugangania kuajiriwa.

mfano watu kama Jeif Koinange aliacha kazi CNN akiwa bureau chief afrika akarudi nyumbani akaanzisha tv ya K24 ambapo sasa inatesa huko kenya,Abdalah majura aliacha kazi BBC Swahili akaanzisha redio yake ya michezo huko DODOMA na sasa inafanya vizuri.

hivi huyo tido amerogwa na nani? kutoka TBC to Mwananchi mimi naona ni demotion kubwa sana.

sijui wenzangu mwaonaje

R.M
 
Kuna watu wameajiriwa na bado wanaajiri. Inawezekana bado Anaendelea na process kama after all ina plan kuanzisha
 
Kuna watu wameajiriwa na bado wanaajiri. Inawezekana bado Anaendelea na process kama after all ina plan kuanzisha

sawa inawezekana lakini kwa position kubwa mbili kwa nyakati tofauti alizokuwa nazo kabla ya sasa alitakiwa kuwa na kitu

mfano alikuwa MD BBC swahili London karibu 15 years na 5 years akiwa MD TBC ameshindwa au alikuwa kwenye process ambayo sasa itaiva akiwa MD mwananchi?
 
Kwa kweli kitendo hiki kimeniudhi sana
mimi nilifikiri mtu kama tido kuwa angeanza harakati za kuanzisha media house ya kwake badala ya kugangania kuajiriwa.

mfano watu kama Jeif Koinange aliacha kazi CNN akiwa bureau chief afrika akarudi nyumbani akaanzisha tv ya K24 ambapo sasa inatesa huko kenya,Abdalah majura aliacha kazi BBC Swahili akaanzisha redio yake ya michezo huko DODOMA na sasa inafanya vizuri.

hivi huyo tido amerogwa na nani? kutoka TBC to Mwananchi mimi naona ni demotion kubwa sana.

sijui wenzangu mwaonaje

R.M


nimependa uchambuzi wako.
mimi nadhani kila mmoja anayo mipango ambayo anafikiri inaweza kumfikisha sehemu fulani
si lazima projects zote za tido ziwe zinajulikana kwa kila mtu.
 
Ni mkakati wa Lowasa kumweka mtu wake kwenye vyombo vya habari makini. Anaandaliwa kuwa kiongozi wa kurugenzi ya mawasiliano Ikulu. Kumbuka walivyoweza kuteka rai kwa kumtumia Salva. Ametangulizwa mwananchi akamsafishie njia.[/QUOTE

The end will justify the mean!
 
Ki ukweli ni Kujishusha/Kushushwa,
kwa level aliyofikia hakuwa mtu tena wa kuajiliwa kwenye kampuni kama Mwananchi au hata IPP,

lakini kama wachangiajai wengine walivyosema kuna watu wao mpaka mwisho wa uwezo wao wa kufanya kazi ni watu wa kuajiliwa tu, Nadhani Tido anafit kwenye hilo Group
 
Back
Top Bottom