Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,955
- 4,329
- Thread starter
- #41
Huko hawatumii treni kama hizi za kwetu zenye spidi hii ya kinyonga inayolingana na spidi ya Vitz au Noah. Za kwao ni ndege za chini zinazo fly over the rail in vacuum at a speed of an aeroplane, my dear. Na hazisimami simami njiani. Ni city to city only. Za kwetu ni za kawaida tu za walala hoi.Wamekuambia Bei rahisi Ni kiasi gani?
Engine na mabehewa yake yanaweza kuwa adjusted upana na kuweza kutembea kwenye reli ya MGR yakitumia dizeli kama ulivyoyaona yakichapa kazi juu ya MGR baada ya kuwasili nchini hivi karibuni.