Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,090
jMushi taarifa zote za iReport hata wewe unaweza kuandika na ukachangia km facebook au JamiiForum, hiyo ni taarifa ya Mwanakijiji na wachangiaji ni 9, sasa malemo kazema ni Dunia wakati CNN wametahadharisha picha na taarifa ni VETTED (Tafuta maana ya taarifa kuwa VETTED) na hapo ndio muwaeleze walimwengu, (mm nachosema RIP DAUDI MWANGOSI)soma heading we kijakazi usiyetumia akili!tangu lini "dunia" ndo wazungu?cnn inatizamwa dunia nzima wakiwemo hao dhaifu anaowapeleka bakuli la kimatonya every now and then.Mbona husemi kitu akiwa anapiga kiguu na njia kwa hao wazungu kuomba pamoja na vitu vingine hizo silaha zinazotumika kuuwa raia wasio na hatia?tumia akili na fikiri kabla ya kubandika ***** humu.
Mimi naona mnawalazimisha watu na matusi km Kijakazi ni mtu yoyote ana akili timamu na maamuzi yake binafsi hata mimi naweza kutuma picha na habari huko CNN au JF Mhariri ndiye ana mamlaka na hiyo habari yangu kuitoa/kuifuta au kuiacha
Pia hapo alipochangia mwanakijiji hujakatazwa kuchangia