Sawa dada nimekusoma,ngoja
wadau wengine wakushauri zaidi
Umejuaje anataka ndoa? Pengine anataka mtoto tu.....vipi utamkubali?
hebu niku PM kuna kitu nataka unijuze,Yule anayepitia profile lako vipi?
hebu niku PM kuna kitu nataka unijuze,
Humpendi kwa tabia zake au umri? Isijekua unamwacha akufaaye kwa kuogopa kuchekwa umeoa mzee. Kama mlipatana kimazungumzo mpaka mkaingia page nyingine (sijui mliingiaje!) basi yaelekea mna maelewano mazuri na interest zinazofanana.
Hahahaa kivipi?
Sitaki mtoto wangu awe wa nje ya ndoa, nataka kuzaa na mwanamke ninayempenda ili nipende kila kilicho chake
kuna wengine ukimuona ni kama kabinti kadogo. Na huwezi uliza umri gafla gafla! Unarusha mawe na kumaliza game,ukijakujua umri utampa shikamoo!
Kumwambia direct hivyo naogopa kumuumiza ndo nataka mnisaidie namna bora ya kumwambia