Hivi kwa nchi hii suala la dual citizenship linawezekana?.Kama linawezekana nitashukuru kwani hivi sasa ninajifua kujua lugha ya kifaransa,nataka kusogea hapo Rwanda kwa Kagame,naona life la hapa TZ pasua kichwa.
Mjomba sikujua ya kuwa hata wewe uko kwenye lile kundi dogo linaloikamua nchi hii na sasa linajenga hoja ya uraia wa nchi mbili kwa lengo la kujijengea mazingira mazuri ya kufuraia utajiri wao huko ughaibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.