Vita vikali kati ya Uganda na Rwanda!

Mr Chromium

JF-Expert Member
Aug 20, 2020
2,088
2,705
Je unafahamu kua nchi hizi mbili zilishawai kupigana vita???

Nani alishindwa??
Je nchi hizi zitakuja zitapigana tena??
Upi utakua mwisho wa hizi nchi mbili hapa Africa??

…..…..

MWANZO
Rwanda na Uganda zilikua hazina urafiki wa karibu ziliokua nao leo.Leo zinaongozwa na marafiki wawili waliofanya kazi pamoja kama waasi nchini Uganda ambapo Paul kagame na watusi wengine wa Rwanda waliokua wanaishi Uhamishoni walishirikiana kupindua serikali ya Uganda na kisha kutwaa madaraka.

Mwaka ni 1999-2000

Vita vya marafiki hawa vilipiganwa kwenye ardhi ya mbali nje na ardhi yao ya asili.
Rwanda na Uganda zilipigana vita ndani ya Kongo katika eneo la Kisangani.
Vita vilikua vikali sana ! Inakadiriwa wanajeshi zaidi ya 1500 walifariki kwa upande wa Uganda.

Cha ajabu upande wa Rwanda vifo vya wanajeshi hamna taarifa lasmi. Wengine wanakadiria wanajeshi zaidi ya 800.

NANI ALISHINDA VITA
Mwishoni mwa vita hii (proxy war) ilikua ni ushindi wa Rwanda ambayo ilishinda na kutawala eneo lote la Kisangani. Na kufuatia ushindi huo Jeshi la Uganda lilitoa vikosi vyake na kuhamishia kaskazini mwa DRC
 
IMG_5782.jpg
 
Ilikuwa mwaka 1999, Rwanda na Uganda walikuwa DRC walitaka kumtoa Laurent Kabila madarakani. Baadae wakageukana wao kwa wao, mwisho Uganda akazidiwa na kukimbia.
kumbe! Nilidhani walipagana kwa kuvamiana nchi kwa nchi badala ya kwenda kupigania kwenye nchi nyingine. Wakipigana nchi kwa nchi rwanda ananyukwa
 
Hii nchi ya dr congo ni nchi kubwa lakini ni ya kijinga sana! Nchi kubwa kama hiyo inavamiwaje na majeshi ya nchi zingine kupigana katika ardhi yake? Eti nchi kubwa kama tanzania mipaka yake yaingie majeshi ya nchi zingine yaanze kupigana huko, sasa si itakuwa nchi ya kijinga? Tz isiwe kama congo mipaka yake kuchezewa na waasi pamoja na majeshi ya kigeni huo ni ujinga wa kutokulinda mipaka yake kwa ulinzi imara
 
Hii nchi ya dr congo ni nchi kubwa lakini ni ya kijinga sana! Nchi kubwa kama hiyo inavamiwaje na majeshi ya nchi zingine kupigana katika ardhi yake? Eti nchi kubwa kama tanzania mipaka yake yaingie majeshi ya nchi zingine yaanze kupigana huko, sasa si itakuwa nchi ya kijinga? Tz isiwe kama congo mipaka yake kuchezewa na waasi pamoja na majeshi ya kigeni huo ni ujinga wa kutokulinda mipaka yake kwa ulinzi imara

Kiongozi unajua vita??
Kama magaidi wanaweza ishi ndani ya nchi na kua had na matank , silaha za kutosha unashangaa nn drc

boko haramu nigeria wana had vifaru. vya vita
Alshababu somalia
Alshabab linked Mozambique
RSF Sudan
mifano n mingi
 
Back
Top Bottom