Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,335
- 3,902
Hata kabla viongozi wakuu wa CHADEMA hawajaondoka mikoa ya kusini, mwenyekiti wa UWT Sophia Simba anafanya mkutano mkubwa na kina mama (soma wapiga kura) mjini LINDI. Kwa maoni yangu CHADEMA waimarishe kitengo hiki, wasiwategemee kina Mbowe na Lema wazee wa kufoka foka!