Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Nadhani kuna decoder ambazo nipackage maalum na zina bei maalum ziawezesha hilo lifanyike bila uchakachuzi mkubwa. sometime implimentation nyingine inaweza kuhitaji kuchakachua mpaka Dish liwe na LNB mbili. nilisoma soma haya mambo zamani kwenye moja ya website ambayo ilinipa shule ni hii hapa inaitwa Mr Dish
kwa hiyo nadhani kabla ya yote decoder ya jamaa inatakiwa iwe na Dual view capable. Zaidi ya hapo ni TV zote kuona channel moja at specific time
kwa hiyo nadhani kabla ya yote decoder ya jamaa inatakiwa iwe na Dual view capable. Zaidi ya hapo ni TV zote kuona channel moja at specific time