DSTV Sharing

Nadhani kuna decoder ambazo nipackage maalum na zina bei maalum ziawezesha hilo lifanyike bila uchakachuzi mkubwa. sometime implimentation nyingine inaweza kuhitaji kuchakachua mpaka Dish liwe na LNB mbili. nilisoma soma haya mambo zamani kwenye moja ya website ambayo ilinipa shule ni hii hapa inaitwa Mr Dish

kwa hiyo nadhani kabla ya yote decoder ya jamaa inatakiwa iwe na Dual view capable. Zaidi ya hapo ni TV zote kuona channel moja at specific time
 
Wadau wa teknolojia naomba ushauri wenu kwa hili kama lina wezekana
Jirani yetu ana tumia DSTV na anadai gharama kwa mwezi zimemzidi uzito, so ametuita majirani zake wawili akatuomba kama tupo interested atatuunganishia cable kutoka kwenye king'amuzi chake tupate mambo kwa minajili ya kusaidiana wakati wa malipo ya mwezi.

Changamoto inayo tukabili ni je inawezekana labda kufanya namna yoyote pengine hata kununua kifaa fulani kitakacho weza kufanya kila mmoja aka control chaneli atakayo kwa wakati wake na si yeye akiweka kipindi fulani basi wote mnalazimika kuangalia hicho
Huwa naona hii maneno kwenye mahotel, kila tv chumbani unabadili chaneli kama kawaida
Nawasilisha

kuna jamaa huko dar wanachakachua then unaangalia bure milele, unawapa 500,000/= as lumpsum then it will last forever wakishachakachua
 
hiyo kwa sasa hakuna ilishtukiwa kitambo
Wameshtuka laakini kuzuia hawawezi coz kuna data encrpty card convertor waliyotengeneza wachina ni balaa yaani hata dstv wabadili code zao kila baada ya sekunde 30 hiki kifaa kinaencrypt hizo code ndio maana inakuwwa ni ngumu mno.
 
Wameshtuka laakini kuzuia hawawezi coz kuna data encrpty card convertor waliyotengeneza wachina ni balaa yaani hata dstv wabadili code zao kila baada ya sekunde 30 hiki kifaa kinaencrypt hizo code ndio maana inakuwwa ni ngumu mno.

converter ipi hiyo?
mimi nilishatumia dial upsystem
Madishi mawili system
Dongle system
lakini kila baada ya muda fulani inapotea nadhani ni tempo solution tu hizo
 
ile ya dodoma si dstv ni huduma fulani ya cable tv network ambapo wale wasambazaji wanakuwa na access na free channels nyingi na wao wanazisambaza kwa customers ndo maana wale waliojiunga kwa hii huduma kwa mkoani dodoma utaona mpira wa epl wao wanaupata kupitia abudhabi sports channel...
 
hii mbona inawezekana vizuri tu,kuna vifa ambavyo watu wa cable tv wana tumia inabidi mnunue hapo kila mtu ata control tv yake.au angalia hata kwenye mahotel kuna kifaa wanatumia ndio maana kila room inajitegemea unachotaka kuangali.ni mambo yanayowezekana kabisa.
Wadau wa teknolojia naomba ushauri wenu kwa hili kama lina wezekana
Jirani yetu ana tumia DSTV na anadai gharama kwa mwezi zimemzidi uzito, so ametuita majirani zake wawili akatuomba kama tupo interested atatuunganishia cable kutoka kwenye king'amuzi chake tupate mambo kwa minajili ya kusaidiana wakati wa malipo ya mwezi.

Changamoto inayo tukabili ni je inawezekana labda kufanya namna yoyote pengine hata kununua kifaa fulani kitakacho weza kufanya kila mmoja aka control chaneli atakayo kwa wakati wake na si yeye akiweka kipindi fulani basi wote mnalazimika kuangalia hicho
Huwa naona hii maneno kwenye mahotel, kila tv chumbani unabadili chaneli kama kawaida
Nawasilisha
 
Back
Top Bottom