hao kama wamesema hivo hawana maana, mwanachama na mpenzi wa chadema na mageuzi nchini anatakiwa akubali maamuzi ya kidemokrasia ya chama! kama kwenye kura za kupata mpeperusha bendera ya chadema akapatikana mtu mwingine ambaye sio Slaa hawaheshimu maamuzi hayo??mwisho wa siku inatakiwa chama kwanza mtu baadae!!
Umetumwa wewe na watu wa Kaskazini safari hii mgombea wa Chadema lazima atoke sehemu ingine Kigoma au Shinyanga.[ wewe ritz unafanya nini kwenye hii post wakati wenzako wanacheza bao vibarazani na vikombe vya kahawa.
mbona mwinyi alipewa uraisi hamna nywele nyeusi kichwani hamna uzee haposlaa keshazeeka
sasa zamu ya vijana
mzito wa makabwela keshaonesha nia..
:lock1::lock1::bump2:
mbona mwinyi alipewa uraisi hamna nywele nyeusi kichwani hamna uzee haposlaa keshazeeka
sasa zamu ya vijana
mzito wa makabwela keshaonesha nia..
:lock1::lock1::bump2:
mm sio kwamba napinga kwamba slaa hafai! namuunga mkono na namkubali nikizingatia changamoto aliyotoa 2010 na naamini huenda alishinda, ila nachokuambia kama wengi bila mizengwe na kidemokrasia wakamsimika mgombea mwingine badala ya slaa lazima tumuunge mkono kwa kura na kampeni maana slaa, mbowe, zitto et al. watapita ila CHADEMA itadumu na kubaki kwa zama zote!kama nakuelewa vizuri wewe unampenda slaa specifically sio chadema ndio maana upo tayari kupigia kura chama kingine kama slaa hatapitishwa!Mkuu sio kwamba hatuna maana ndiyo demokrasia inatakiwa lakini mda mwingine sio kukubali kila kitu kwa hiyo unataka cdm hata wakimpitisha mtu ambaye haturidhiki naye tukubali tu kisa demokrasia?hapana yani cdm wafanye vyovyote vile ila Dr.slaa ndiye anayefaa zaidi ya hapo wajue tutafanyia kampeni chama kingine Taifa kwanza chama badae mkuu.
Umetumwa wewe na watu wa Kaskazini safari hii mgombea wa Chadema lazima atoke sehemu ingine Kigoma au Shinyanga.
hao kama wamesema hivo hawana maana, mwanachama na mpenzi wa chadema na mageuzi nchini anatakiwa akubali maamuzi ya kidemokrasia ya chama! kama kwenye kura za kupata mpeperusha bendera ya chadema akapatikana mtu mwingine ambaye sio Slaa hawaheshimu maamuzi hayo??mwisho wa siku inatakiwa chama kwanza mtu baadae!!
kuliko nimpe zzk kura yangu bora nife au nimpe EL