Kwa upepo wa sasa daktari is the best kama upepo wa j.k 2005Huwa napata shida sana pale tunapodhani taasisi haiwezi kuishi bila mtu mmoja.Ingawa naamini Daktari ni kiongozi mahiri, ni lazima CDM iwe mahiri hata bila Daktari vinginevyo mnataka kutupigia nyimbo (zidumu fikra) ile ile isipokuwa mdundo ndo tofauti!
Kwa upepo wa sasa daktari is the best kama upepo wa j.k 2005[/SIO UPEPO TU! BALI NA KIMBUNGA KINACHOTEMBEA KM 100 KWA SAA
Wala wasilete ujinga hapa!!slaa keshazeeka
sasa zamu ya vijana
mzito wa makabwela keshaonesha nia..
:lock1::lock1::bump2:
Hicho kinachosemwa sio masihara wadau, binafsi nimewasikia zaidi ya watu kumi wana misimamo hiyo!
Umetumwa wewe na watu wa Kaskazini safari hii mgombea wa Chadema lazima atoke sehemu ingine Kigoma au Shinyanga.
slaa keshazeeka
sasa zamu ya vijana
mzito wa makabwela keshaonesha nia..
:lock1::lock1::bump2:
Acha zako wewe ina maana Mbowe akipita mtahamia CCM?Na slaa akihamia CCM Mtamfuata kweli bangi mbaya
Acha zako wewe ina maana Mbowe akipita mtahamia CCM?Na slaa akihamia CCM Mtamfuata kweli bangi mbaya