Given Edward
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 850
- 202
ACP Ahmedi Msangi anaumia sana akisikia maneno haya! Inawezekana waliokuwa wanapotosha habari tangu asubuhi ni watu wa Usalama wa Taifa. Hii Idara inapaswa ivunjwe na isukwe upya!
TUMBIRI (PhD, University of HULL - UK),
tumbiri@chadema.or.tz,
tumbiri@jamiiforums.com
You mean Usalama wa Taifa IVUNJWE?