Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
Watu wanaomba kwa ajili ya Dr Uli. Mapenzi ya Mungu yatimie. Tudumu kaika maombi!
Kwa taarifa hii sasa nalala kwa amani:israel:haya ni maneno ya mwenyekiti wa MAT Dr Namala Mkopi.
Dr ulimboka anaendelea vizuri na pia hayuko kwenye coma!
naona leo magazeti yameanza kujirudi
kwa hiyo mtasa alituongopea? Najua vyombo vya habari vya wenzetu vina sheria kali sana asije akapigwa ban kama alivyofanywa yule Jeff Koinange aliyekuwa CNN bureau chief wa west africa.
Yule nasikia alikula rushwa!
Jamaa angefika mbali sana yule amejiharibia maisha yake.
God is Good All Times. Thanks Jesus Of Nazareth.
Nami naungana watanzania wote kumuombea Dr Ulimboka apone hayo majeraha aliyopata toka kwa watu dhalili, wakati huo huo naona Makamu wa Raisi wa SA amewasili Dar sasa sijui hili suala limewaishtua viongozi wa huko au ni ziara iliyokuwa imepangwa kabla.Tuendelee kumuombea dk, ukitafakari mateso aliyoteswa waweza kububujikwa na machozi usiku kucha, yakaribiana na mateso ya bwana wetu Yesu Kristu pale alipibebeshwa msalaba na kuambatanishwa na nao na misumali na kuanza kupigwa mijereji huku akitobolewa mbavuni. yalifanyika ili sisi tupone, hali kadhalika kwa dk.