Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

Siyo Sayansi kimu hii kijana.....na wala sio Bunge hadi kina Komba wamo ndani....Pia sio ramli. This is Medicine.!
 
Kama ma daktari waliopo hawakubaliani na terms za serikali hapajaharibika neno.
Nashauri wajiuzulu na serikali iajiri madaktari wapya ambao wako tayari kuendelea na kazi.

Haiwezekani taifa la watu milioni 45 kuwa held hostage na kundi la watu ambao hawataki ku reason mbele ya meza ya majadiliano.

Its about time serikali ikawa decisive na maamuzi. Wapo watu ambao wako stand by kuchukua hizo kazi za hawa jamaa zake akina Dr Ulimboka

hivi wewe unajua kutumia kichwa chako vizuri?

Kwanini una danganya watu, wewe ni mtu mzima tunaomba kama huna cha kuandika unyamaze kabisa siyo kuandika mambo ya kizushi hapa?

Hivi kwa nini ukubali kutumiwa na watu kwa maslai yao?
 
Naomba kuuliza kwani kwa nini JENGO KUBWA YA BUNGE ???? THIS IS ABUSE OF TANZANIANS RESOURCES. Hiyo Bunge kuna watu wangapi mpaka ijengwe kubwa kiasi hisho ??? Tunaona Wabunge awajii kwenye Bunge haasa mchana kwani wanaenda wapi ??? Na kama wanalipua POSHO hiyo POSHO ya nini wakati awakae Bungeni kutetea WATANZANIA ??? Tunaomba kujua kwa nini wamechenga Bunge Kubwa kiasi hicho ?? na imegaramia Shilingi ngapi wakati inakaa wazi na mtupu mpaka tena Bunge... Watanzania wanakufa na njaa kazi yao CCM nikupiga meza tuu. Tumechoka jamani ni aibu... Angalia Kenya Bunge yao ni kidogo kwani hawa VIOGOZI WETU WA CCM wana matatizo gani ? 10% inatuowa jamani.
I think this is from Somaliland, if I am not wrong...
 
Kama ma daktari waliopo hawakubaliani na terms za serikali hapajaharibika neno.
Nashauri wajiuzulu na serikali iajiri madaktari wapya ambao wako tayari kuendelea na kazi.

Haiwezekani taifa la watu milioni 45 kuwa held hostage na kundi la watu ambao hawataki ku reason mbele ya meza ya majadiliano.

Its about time serikali ikawa decisive na maamuzi. Wapo watu ambao wako stand by kuchukua hizo kazi za hawa jamaa zake akina Dr Ulimboka

ubongo wa mende@work
 
Kama ma daktari waliopo hawakubaliani na terms za serikali hapajaharibika neno.
Nashauri wajiuzulu na serikali iajiri madaktari wapya ambao wako tayari kuendelea na kazi.

Haiwezekani taifa la watu milioni 45 kuwa held hostage na kundi la watu ambao hawataki ku reason mbele ya meza ya majadiliano.

Its about time serikali ikawa decisive na maamuzi. Wapo watu ambao wako stand by kuchukua hizo kazi za hawa jamaa zake akina Dr Ulimboka

Sina uhakika kama unayosema ni sahihi kwa vile siyo kweli kuwa tuna wataalamu wa tiba ambao hawana ajira na wanatafuta kuajiriwa na serikali kwa terms zinazopingwa na hawa madaktari wailiopo. Taaluma ya tiba ni hot sana duniani hapa, tunapowachezea madakatari wetu, wakivuka mpka kidogo tu kuingia nchi za jirani wanapokelewa kwa heshima kweli kweli.
 
to my opinion i don't think if it's a good idea to me it's sounds -ve, the matter is just to seat with ministry of health and discuss in terms of Resettlement Assistance and settle down the differences btn each department and not other wise.
 
to my opinion i don't think if it's a good idea to me it's sounds -ve, the matter is just to seat with ministry of health and discuss in terms of Resettlement Assistance and settle down the differences btn each department and not other wise.
 
Labda wewe na njaa zako.....madaktari hawana dhiki za hivyo tena usipotoshe watu hapa!

Mbona wapo kibao tu mitaani?wewe unajifanya mtoto wa fisadi kuwa kwenu zipo wakati njaa tu.Watu wana dhiki wewe na ujinga wa kujiuzulu ili wewe na wenzako mnufaike kwa migongo yao hawataukubali.NAKUHAKIKISHIA HAKUNA WA KUJIUZULU LABDA WEWE PEKE YAKO
 
Kama ma daktari waliopo hawakubaliani na terms za serikali hapajaharibika neno.
Nashauri wajiuzulu na serikali iajiri madaktari wapya ambao wako tayari kuendelea na kazi.

Haiwezekani taifa la watu milioni 45 kuwa held hostage na kundi la watu ambao hawataki ku reason mbele ya meza ya majadiliano.

Its about time serikali ikawa decisive na maamuzi. Wapo watu ambao wako stand by kuchukua hizo kazi za hawa jamaa zake akina Dr Ulimboka
mgomo wa madaktari ni kama mtu anasema mimi naua mtu kama sipati changu kisha anajibiwa ua tuone; halafu anaua kweli na hatua zinafuata. TAFAKARI
 
Kama hawaamini kuwa kuna watu wako standby wanasubiri kuchukua hizo nafasi zao,wajiuzulu halafu waone.

your mad! Nitafutie madaktari 10 walio mitaani na uwaanzishie uzi kuwa wako tayari kuchukua na fasi hizo.

Labda utatibiwa na mr dhaifu ndiye dr aliye mtaani.

But i don think if you know what ur provoking!
 
your mad! Nitafutie madaktari 10 walio mitaani na uwaanzishie uzi kuwa wako tayari kuchukua na fasi hizo.

Labda utatibiwa na mr dhaifu ndiye dr aliye mtaani.

But i don think if you know what ur provoking!
Your very mentally paralized kama hujui watu wapo wengi.WE CAN BATE ON THIS.Jiuzulu kesho uone mziki sio unalalamika halafu umeng'ang'ania serikalini
 
Hospitali ziko nyingi duniani, India Ujeru, Uingereza nk. Si lazima mwende Muhimbili jamani. Mbona kama tumelogwa.
 
Kama ma daktari waliopo hawakubaliani na terms za serikali hapajaharibika neno.
Nashauri wajiuzulu na serikali iajiri madaktari wapya ambao wako tayari kuendelea na kazi.

Haiwezekani taifa la watu milioni 45 kuwa held hostage na kundi la watu ambao hawataki ku reason mbele ya meza ya majadiliano.

Its about time serikali ikawa decisive na maamuzi. Wapo watu ambao wako stand by kuchukua hizo kazi za hawa jamaa zake akina Dr Ulimboka
You are very very out of touch with your environment and for that you deserve hell when it reaches you.
 
serikali isipoteze muda kuongea na wasiotaka kuongea

ifanye haraka iajiri madaktari wapya
 
Back
Top Bottom