Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

Naomba kuuliza kwani kwa nini JENGO KUBWA YA BUNGE ???? THIS IS ABUSE OF TANZANIANS RESOURCES. Hiyo Bunge kuna watu wangapi mpaka ijengwe kubwa kiasi hisho ??? Tunaona Wabunge awajii kwenye Bunge haasa mchana kwani wanaenda wapi ??? Na kama wanalipua POSHO hiyo POSHO ya nini wakati awakae Bungeni kutetea WATANZANIA ??? Tunaomba kujua kwa nini wamechenga Bunge Kubwa kiasi hicho ?? na imegaramia Shilingi ngapi wakati inakaa wazi na mtupu mpaka tena Bunge... Watanzania wanakufa na njaa kazi yao CCM nikupiga meza tuu. Tumechoka jamani ni aibu... Angalia Kenya Bunge yao ni kidogo kwani hawa VIOGOZI WETU WA CCM wana matatizo gani ? 10% inatuowa jamani.

asubuhi wanasahihi na kutoka, waligoma siku nyingi sana, ndiyo maana hata walimu waligoma siku nyingii leo watoto wanahitimu ignorance, wanaimba flava
 
wapo wanatafuta kazi mitaani
Don Draper hakuna daktari MD (wa degree) ambaye yupo mtaani bila kazi. Ila wapo 'madaktari wa 'UPE'' kama Clinical Officers (Diploma) kwa wingi na Assistant Medical Officers (Advanced Diploma) kwa uchache sana ambao ndio hawana kazi.
 
Last edited by a moderator:
Don Draper hakuna daktari MD (wa degree) ambaye yupo mtaani bila kazi. Ila wapo 'madaktari wa 'UPE'' kama Clinical Officers (Diploma) kwa wingi na Assistant Medical Officers (Advanced Diploma) kwa uchache sana ambao ndio hawana kazi.
Mkuu hata hao kwenye red hakuna ambaye yupo mtaani(jobless)
 
....asikutishe bwana,hawa madakitari wanaojifanya wajanja ni wajinga sana wanajifikilia wao tu,waulize kama wanaweza fanya kazi bila nesi au mtu wa usingizi au driver wa kuwapeleka kazini,waache ubinafsi,wapo wengine ni majina tu kila akiingia theatre anatoka na maetrnal death,wengine wana vyeti feki tunawajua akifika hospital anataka uongozi tu uwezi muona anatibu mtu, hapa kitakachofuata ni kuwataja majina...ndugu yangu usibabaike na hawa wanaokutisha ndo wale wale

Napenda kukusahihisha mwana JF...mtu wa usingizi pia ni Doctor...hii ni migawanyiko ya kazi tu. Pia hakuna kitu kinacho itwa maetrnal death. May be this is the new medical term...kama huna fact usiandike kitu usicho kijua...internet unayo bado unaonyesha hujui matumizi ya internet.....
 
Kama ma daktari waliopo hawakubaliani na terms za serikali hapajaharibika neno.
Nashauri wajiuzulu na serikali iajiri madaktari wapya ambao wako tayari kuendelea na kazi.

Haiwezekani taifa la watu milioni 45 kuwa held hostage na kundi la watu ambao hawataki ku reason mbele ya meza ya majadiliano.

Its about time serikali ikawa decisive na maamuzi. Wapo watu ambao wako stand by kuchukua hizo kazi za hawa jamaa zake akina Dr Ulimboka

Madaktari ambao wapo intern ndo waanzilishi wa kudai haki za madaktari. Labda waajiri madaktari kutoka china au india
 
wapo wanatafuta kazi mitaani

Wako wapi?au unafananisha na watu waliosoma caurse nyingine na wanahangaika mtaani na baasha?..naona huijui vzr hii fani ya dr.....hivi unajua hao madaktari hata 10 elf tu hawafiki kwa nchi nzima!...
 
Don Draper hakuna daktari MD (wa degree) ambaye yupo mtaani bila kazi. Ila wapo 'madaktari wa 'UPE'' kama Clinical Officers (Diploma) kwa wingi na Assistant Medical Officers (Advanced Diploma) kwa uchache sana ambao ndio hawana kazi.

Unaota ww,hakuna md hata hao wenye diloma na certificate waliopo mtaani..unafikiri hii ni km hkl hizi?
 
Last edited by a moderator:
....asikutishe bwana,hawa madakitari wanaojifanya wajanja ni wajinga sana wanajifikilia wao tu,waulize kama wanaweza fanya kazi bila nesi au mtu wa usingizi au driver wa kuwapeleka kazini,waache ubinafsi,wapo wengine ni majina tu kila akiingia theatre anatoka na maetrnal death,wengine wana vyeti feki tunawajua akifika hospital anataka uongozi tu uwezi muona anatibu mtu, hapa kitakachofuata ni kuwataja majina...ndugu yangu usibabaike na hawa wanaokutisha ndo wale wale

Tatizo la kuajiri mtu mwenye fake certificates ni la system..., wataalam wa vetting wapo, wanaweza kutumika..!
inakuwaje proper Govt inadanganywa?
aaaahah unakumbusha taarifa ya NIDA...!
 
wapo wanatafuta kazi mitaani
Hao wapya ndo watakuja na vifaa na madawa ambayo sio feki? Kwa nini tunajifanya hatuelewi madai ya madaktari? Mbona hali ya hospitali zetu iko wazi kwz kila mmoja kuona? Kupotosha huku kwa wazi kunatusaidia nini?
 
Huyu mleta mada ana taka kupoteza lengo, naona anataka kuchafua hali ya hewa sasa.

Naomba mods wawe waangalifu sana na hizi thread, hii kauli ni lini imetolewa na ulimboka!

Huyu mtoa mada anatumiwa tunajua na siyo yeye ni wengi tu.
 
Kama ma daktari waliopo hawakubaliani na terms za serikali hapajaharibika neno.
Nashauri wajiuzulu na serikali iajiri madaktari wapya ambao wako tayari kuendelea na kazi.

Haiwezekani taifa la watu milioni 45 kuwa held hostage na kundi la watu ambao hawataki ku reason mbele ya meza ya majadiliano.

Its about time serikali ikawa decisive na maamuzi. Wapo watu ambao wako stand by kuchukua hizo kazi za hawa jamaa zake akina Dr Ulimboka

hao walio standby watafanya kazi kwenye mazingira gani?
 
Back
Top Bottom