Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Kinyau wewe
Nionyeshe wapi nimevunja sheria ja JAMII FORUMS zaidi ya kuwa na mawazo mbadala?
acha kutisha watu hapa
Kama ma daktari waliopo hawakubaliani na terms za serikali hapajaharibika neno.
Nashauri wajiuzulu na serikali iajiri madaktari wapya ambao wako tayari kuendelea na kazi.
Haiwezekani taifa la watu milioni 45 kuwa held hostage na kundi la watu ambao hawataki ku reason mbele ya meza ya majadiliano.
Its about time serikali ikawa decisive na maamuzi. Wapo watu ambao wako stand by kuchukua hizo kazi za hawa jamaa zake akina Dr Ulimboka
Kama ma daktari waliopo hawakubaliani na terms za serikali hapajaharibika neno.
Nashauri wajiuzulu na serikali iajiri madaktari wapya ambao wako tayari kuendelea na kazi.
Haiwezekani taifa la watu milioni 45 kuwa held hostage na kundi la watu ambao hawataki ku reason mbele ya meza ya majadiliano.
Its about time serikali ikawa decisive na maamuzi. Wapo watu ambao wako stand by kuchukua hizo kazi za hawa jamaa zake akina Dr Ulimboka
Haya ni maneno yako au ya Dr. Ulimboka ? Sijaelewa
Codon mie nilifungua haraka haraka nikidhani labda Dr Ulimboka katoa tamko....kufika ndani nakutana na kiroja!Saaafi sweetlady!Hata mimi sijamuelewa?Hawa ndio wanatumia jina la Ulimboka vibaya,Kuna mwingine nae kaweka namna hii heading yk!Sijui wanashida gani?
Naomba kuuliza kwani kwa nini JENGO KUBWA YA BUNGE ???? THIS IS ABUSE OF TANZANIANS RESOURCES. Hiyo Bunge kuna watu wangapi mpaka ijengwe kubwa kiasi hisho ??? Tunaona Wabunge awajii kwenye Bunge haasa mchana kwani wanaenda wapi ??? Na kama wanalipua POSHO hiyo POSHO ya nini wakati awakae Bungeni kutetea WATANZANIA ??? Tunaomba kujua kwa nini wamechenga Bunge Kubwa kiasi hicho ?? na imegaramia Shilingi ngapi wakati inakaa wazi na mtupu mpaka tena Bunge... Watanzania wanakufa na njaa kazi yao CCM nikupiga meza tuu. Tumechoka jamani ni aibu... Angalia Kenya Bunge yao ni kidogo kwani hawa VIOGOZI WETU WA CCM wana matatizo gani ? 10% inatuowa jamani.
Mkuu Don,
Dr Ulimboka kasemea wapi hayo maneno?
Kama ma daktari waliopo hawakubaliani na terms za serikali hapajaharibika neno.
Nashauri wajiuzulu na serikali iajiri madaktari wapya ambao wako tayari kuendelea na kazi.
Haiwezekani taifa la watu milioni 45 kuwa held hostage na kundi la watu ambao hawataki ku reason mbele ya meza ya majadiliano.
Its about time serikali ikawa decisive na maamuzi. Wapo watu ambao wako stand by kuchukua hizo kazi za hawa jamaa zake akina Dr Ulimboka
wapo wanatafuta kazi mitaani
hao wamtaani wazushi tu daktari wa maana hakosi kazi
Kama ma daktari waliopo hawakubaliani na terms za serikali hapajaharibika neno.
Nashauri wajiuzulu na serikali iajiri madaktari wapya ambao wako tayari kuendelea na kazi.
Haiwezekani taifa la watu milioni 45 kuwa held hostage na kundi la watu ambao hawataki ku reason mbele ya meza ya majadiliano.
Its about time serikali ikawa decisive na maamuzi. Wapo watu ambao wako stand by kuchukua hizo kazi za hawa jamaa zake akina Dr Ulimboka
Nionyeshe wapi nimevunja sheria ja JAMII FORUMS zaidi ya kuwa na mawazo mbadala?
acha kutisha watu hapa
naomba kuuliza kwani kwa nini jengo kubwa ya bunge ???? This is abuse of tanzanians resources. hiyo bunge kuna watu wangapi mpaka ijengwe kubwa kiasi hisho ??? Tunaona wabunge awajii kwenye bunge haasa mchana kwani wanaenda wapi ??? Na kama wanalipua posho hiyo posho ya nini wakati awakae bungeni kutetea watanzania ??? Tunaomba kujua kwa nini wamechenga bunge kubwa kiasi hicho ?? Na imegaramia shilingi ngapi wakati inakaa wazi na mtupu mpaka tena bunge... Watanzania wanakufa na njaa kazi yao ccm nikupiga meza tuu. Tumechoka jamani ni aibu... Angalia kenya bunge yao ni kidogo kwani hawa viogozi wetu wa ccm wana matatizo gani ? 10% inatuowa jamani.