Omulangi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 1,036
- 265
Katika kuthibitisha kwamba Dk. Ulimboka hayuko tayari kusema chochote, juzi gazeti hili lilikutana nae katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Ubungo ambapo alisema kuwa kitendo cha kinyama alichofanyiwa, anamwachia Mungu.
Source: Tanzania Daima
Maskini Mwanahalisi na wanaharakati waliojitolea kuyatetea maisha yake sasa wanasalitiwa!!