Akitangaza mtafanyaje,alipotangaza ya mafisadi mbona mliishia kwenye keyboard kutoa mapovu
Hiyo ndiyo worry yangu. Anaweza kutangaza,.and then? Kama serikali haina nia ya kupambana na uhalifu huu hata akitangaza haitakuwa na tija. Rais alishasema anayo orodha. Kwanini asitangaze yeye?
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums