Dr Slaa, Tutangazie Majina ya Vigogo wa Madawa ya Kulevya!

Dr Slaa,
Ni wazi kuwa ulipotangaza list of shame pale Mwembeyanga mwaka 2007 kuliibuka kauli nyingi za kupinga kutoka serikalini na baadhi ya makundi ya jamii, lakini ukweli wa mambo ulibaki pale pale, na baadae tukaona mafisadi wa EPA wakiombwa warudishe pesa na kusamehewa (jambo la ajabu sana duniani kutokea).
Hili la vigogo wa biashara ya Madawa ya kulevya nalo linabidi liwekwe hadharani. Nina amini kabisa Dr Slaa una uwezo wa kupata majina ya hawa jamaa, hata Serikalini wanayo ila sijui kwanini hawataki kuwachukulia hatua hadi sasa. Kwa mawazo yangu naona ni busara yakawekwa hadharani ili walao kushtua mchakato wa kuanza kuwashughulikia, vinginevyo taifa litazidi kuangamia huku tukizidi kulindana. Kazi kubwa ya Chama cha upinzani ni kukosoa na swala la kutaja na kukemea maovu yanayofanyika nchini ni wajibu mmojawapo wa chama cha upinzani makini.

Nawakilisha
Mwambie kikwete aliye utangazia umma kuwa anamajina ya vigogo wote wanaofanya biashra hiyo haramu. Kushindwa kwake kuwataja yaelekea kunanamuna ya uhusika wake au jamaa zake katika biashra hiyo. Kama siyo kwanini hakuwataja au kuwadhibiti?
 
Dr. Slaa alipoutangazia umma kuwa anayo orodha ya mafisadi aliandaa taarifa kamili na kutaja jina la kila FISADI na kutoa ufafanuzi wa kina kwa kila FISADI na UFISADI wake. Dr. Dr. Dr. Dr. Kikwete naye alitangazia umma kuwa anayo orodha ya WAUZA SEMBE lakini hadi leo hii hajapata nguvu za kutosha kutaja majina. Amebakia kurukaruka tu - mara ni viongozi wa dini, mara ...,. Tutasubiri tu ipo siku atatutajia - iwe bado yuko madarakani au ameishastaafu - kwa hiari au kwa kulazimishwa na sheria ya nchi.
 
Dr Slaa,
Ni wazi kuwa ulipotangaza list of shame pale Mwembeyanga mwaka 2007 kuliibuka kauli nyingi za kupinga kutoka serikalini na baadhi ya makundi ya jamii, lakini ukweli wa mambo ulibaki pale pale, na baadae tukaona mafisadi wa EPA wakiombwa warudishe pesa na kusamehewa (jambo la ajabu sana duniani kutokea).
Hili la vigogo wa biashara ya Madawa ya kulevya nalo linabidi liwekwe hadharani. Nina amini kabisa Dr Slaa una uwezo wa kupata majina ya hawa jamaa, hata Serikalini wanayo ila sijui kwanini hawataki kuwachukulia hatua hadi sasa. Kwa mawazo yangu naona ni busara yakawekwa hadharani ili walao kushtua mchakato wa kuanza kuwashughulikia, vinginevyo taifa litazidi kuangamia huku tukizidi kulindana. Kazi kubwa ya Chama cha upinzani ni kukosoa na swala la kutaja na kukemea maovu yanayofanyika nchini ni wajibu mmojawapo wa chama cha upinzani makini.

Nawakilisha
yeye mwenyewe jina lake lipo kwenye orodha sio rahisi kuropoka jambo linalomgusa
 
Dr.W.Slaa,

Rais alishawataja wauza sembe alisema kuna wachungaji wengi ndiyo biashara zao.

Acha uongo kama alionao Kikwete! Kikwete hajawahi kuwataja na hatawahi kuwataja wala rushwa na wauza madawa ya kulevya kwa sababu labda ana maslahi nao! Kwa nini aishie kuwataja(kama alishawahi) hao wahalifu na asiwachukulie hatua?
 
Wote ni walewale kasoro majina na rangi nawashangaa mnaojivuruga kwa ulaji wa wenze (alieonja pepo katulia kimya bali msakatonge anahangaika siku msakatonge akipata nae atakuwa kmya) kazu kwenu mnaoshabikia vyama bila kujua mchezo unaochezwa na wanasiasa
 
Dr Slaa,
Ni wazi kuwa ulipotangaza list of shame pale Mwembeyanga mwaka 2007 kuliibuka kauli nyingi za kupinga kutoka serikalini na baadhi ya makundi ya jamii, lakini ukweli wa mambo ulibaki pale pale, na baadae tukaona mafisadi wa EPA wakiombwa warudishe pesa na kusamehewa (jambo la ajabu sana duniani kutokea).
Hili la vigogo wa biashara ya Madawa ya kulevya nalo linabidi liwekwe hadharani. Nina amini kabisa Dr Slaa una uwezo wa kupata majina ya hawa jamaa, hata Serikalini wanayo ila sijui kwanini hawataki kuwachukulia hatua hadi sasa. Kwa mawazo yangu naona ni busara yakawekwa hadharani ili walao kushtua mchakato wa kuanza kuwashughulikia, vinginevyo taifa litazidi kuangamia huku tukizidi kulindana. Kazi kubwa ya Chama cha upinzani ni kukosoa na swala la kutaja na kukemea maovu yanayofanyika nchini ni wajibu mmojawapo wa chama cha upinzani makini.

Nawakilisha

yani slaa naye ni prabo mzuri sanaa baada ya kushindwa uchaguzi pia zitto nae lakini pia baadhi ya wabunge nawamo kwaoyo kwasasa hawezi kutaja tena maana naye kajiingiza huko fatilia kule kwake mbweni karibu na chuo cha usala wa taifa anakokaa then utajua maisha yake na michezo yake michafu
 
Acha uongo kama alionao Kikwete! Kikwete hajawahi kuwataja na hatawahi kuwataja wala rushwa na wauza madawa ya kulevya kwa sababu labda ana maslahi nao! Kwa nini aishie kuwataja(kama alishawahi) hao wahalifu na asiwachukulie hatua?
[h=3]SKENDO YA ASKOFU PENGO KUUZA MADAWA YA KULEVYA YAITIKISA KANISA KATOLIKI[/h]
24.jpg

SKENDO kwamba Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kadinali Pengo, anafanya biashara ya madawa ya kulevya, ilitikisa kisha ikapoa, ila sasa Uwazi lipo kwenye nafasi nzuri ya kupasua jipu.
Januari mwaka jana, Pengo ndiye alikuwa wa kwanza kutamka hadharani kuwa anaambiwa anauza ‘unga', kipindi hichohicho, Uwazi lilizungumza na Kamanda wa Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya, Godfrey Nzowa ambaye alisema wanafanya kazi kisayansi.
"Kama jina la Pengo tunalo kwamba anauza madawa ya kulevya au hatuna, siwezi kutamka kwa sasa, hatutaki kupindisha ushahidi au kuvuruga upelelezi wetu," alisema Nzowa.
Hata hivyo, hivi karibuni, Uwazi lilifanikiwa kuzungumza na mmoja wa vigogo wa jeshi la polisi nchini, aliyeomba hifadhi ya jina lake gazetini, akasema kuwa suala la Pengo lina utata ila siyo zito.
"Labda mimi nipasue jipu kwamba jina la Pengo halionekani katika orodha ya viongozi wa dini wanaochunguzwa kutokana na kashfa ya madawa ya kulevya," alisema kigogo huyo.
Aliongeza: "Hata kwenye ule mkanda uliokwenda bungeni, ukionesha wafanyabiashara wa madawa ya kulevya, Pengo haonekani. Tulishangaa sana aliposema anaambiwa anauza madawa ya kulevya.
 
[h=3]SKENDO YA ASKOFU PENGO KUUZA MADAWA YA KULEVYA YAITIKISA KANISA KATOLIKI[/h]
24.jpg

SKENDO kwamba Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kadinali Pengo, anafanya biashara ya madawa ya kulevya, ilitikisa kisha ikapoa, ila sasa Uwazi lipo kwenye nafasi nzuri ya kupasua jipu.
Januari mwaka jana, Pengo ndiye alikuwa wa kwanza kutamka hadharani kuwa anaambiwa anauza ‘unga’, kipindi hichohicho, Uwazi lilizungumza na Kamanda wa Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya, Godfrey Nzowa ambaye alisema wanafanya kazi kisayansi.
“Kama jina la Pengo tunalo kwamba anauza madawa ya kulevya au hatuna, siwezi kutamka kwa sasa, hatutaki kupindisha ushahidi au kuvuruga upelelezi wetu,” alisema Nzowa.
Hata hivyo, hivi karibuni, Uwazi lilifanikiwa kuzungumza na mmoja wa vigogo wa jeshi la polisi nchini, aliyeomba hifadhi ya jina lake gazetini, akasema kuwa suala la Pengo lina utata ila siyo zito.
“Labda mimi nipasue jipu kwamba jina la Pengo halionekani katika orodha ya viongozi wa dini wanaochunguzwa kutokana na kashfa ya madawa ya kulevya,” alisema kigogo huyo.
Aliongeza: “Hata kwenye ule mkanda uliokwenda bungeni, ukionesha wafanyabiashara wa madawa ya kulevya, Pengo haonekani. Tulishangaa sana aliposema anaambiwa anauza madawa ya kulevya.

Ukiwa punguani utabaki kuwa punguani tu, na kadiri mda unavyosonga upunguani huhamia moyoni!

Habari za Kiu na Uwazi unazileta hapa kama uthibitisho wa orodha ya wauza madawa ya kulevya aliyonayo RAIS wa NCHI?

Mjinga ni mjinga tu!
 
we thubutu? Dr Slaa hana ubavu wa kumtaja hata mhusika mmoja wa biashara ya madawa ya kulevya. sanasana atafanikiwa kupata orodha ya mateja tu. watu wan madawa ya kulevya ni hatari sana na akitaka ajiharibie au apoteze maisha athubutu kucheza na watu hao. hawa jamaa ni kama dola nyingine ambayo kiongozi wake yupo Mexico na Msaidizi wake yupo Pakistan. serikali ya Mexico ilijaribu sana lakini ilishindwa

Kwa hiyo hata Rais Kikwete anawaogopa japo alitangazia umma wa Watanzania kuwa ana majina yao.
 
mukulu ana majina yapo kabatini... tatizo kuna jina la prince... ndo maana alishindwa kuyatoa hadharani
 
we thubutu? Dr Slaa hana ubavu wa kumtaja hata mhusika mmoja wa biashara ya madawa ya kulevya. sanasana atafanikiwa kupata orodha ya mateja tu. watu wan madawa ya kulevya ni hatari sana na akitaka ajiharibie au apoteze maisha athubutu kucheza na watu hao. hawa jamaa ni kama dola nyingine ambayo kiongozi wake yupo Mexico na Msaidizi wake yupo Pakistan. serikali ya Mexico ilijaribu sana lakini ilishindwa
kwa hiyo hata Kikwete hawezi na Urais wake wote na mamlaka yake kweli jamaa ni dhaifu kweli.ila Ukweli ni kwamba IKULU yenyewe inauza madawa kupitia KIKWETE na Riziwani. Kikwete anawajua wezake na shetani amataji shetani mwezake.
 
SKENDO YA ASKOFU PENGO KUUZA MADAWA YA KULEVYA YAITIKISA KANISA KATOLIKI


24.jpg

SKENDO kwamba Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kadinali Pengo, anafanya biashara ya madawa ya kulevya, ilitikisa kisha ikapoa, ila sasa Uwazi lipo kwenye nafasi nzuri ya kupasua jipu.
Januari mwaka jana, Pengo ndiye alikuwa wa kwanza kutamka hadharani kuwa anaambiwa anauza ‘unga', kipindi hichohicho, Uwazi lilizungumza na Kamanda wa Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya, Godfrey Nzowa ambaye alisema wanafanya kazi kisayansi.
"Kama jina la Pengo tunalo kwamba anauza madawa ya kulevya au hatuna, siwezi kutamka kwa sasa, hatutaki kupindisha ushahidi au kuvuruga upelelezi wetu," alisema Nzowa.
Hata hivyo, hivi karibuni, Uwazi lilifanikiwa kuzungumza na mmoja wa vigogo wa jeshi la polisi nchini, aliyeomba hifadhi ya jina lake gazetini, akasema kuwa suala la Pengo lina utata ila siyo zito.
"Labda mimi nipasue jipu kwamba jina la Pengo halionekani katika orodha ya viongozi wa dini wanaochunguzwa kutokana na kashfa ya madawa ya kulevya," alisema kigogo huyo.
Aliongeza: "Hata kwenye ule mkanda uliokwenda bungeni, ukionesha wafanyabiashara wa madawa ya kulevya, Pengo haonekani. Tulishangaa sana aliposema anaambiwa anauza madawa ya kulevya.

We kweli ni kilaza! Sasa hapo wapi Pengo ametajwa kwamba anahusika? Unataka kuniambia kuwa rais Kikwete anamuogopa Pengo? Halafu Nzowa aliatajwa live na mzee Mengi kuwa alitaka kumbambikia mtoto wake madawa ya kulevya na hiyo issue ilipotezewa tu! So either Kikwete anawaogopa drug dealer au kuna kitu/watu anawalinda!! Kama Nzowa angekuwa amesingiziwa angemchukulia hatua mzee Mengi! Tuliamini mzee Mengi aliyemtaja Nzowa live au gazeti la uwazi linalozungumza udaku?
 
kwa hiyo hata Kikwete hawezi na Urais wake wote na mamlaka yake kweli jamaa ni dhaifu kweli.ila Ukweli ni kwamba IKULU yenyewe inauza madawa kupitia KIKWETE na Riziwani. Kikwete anawajua wezake na shetani amataji shetani mwezake.

CC.Ritz
 
Kwanini unapenda kukaa nyuma ya wanaume wenzako.. ..nini DR. SLAA? me ninayo, njoo nikupe usome..! . .
 
Back
Top Bottom