hawezi kumoa mke wa mtu, sihitaji kuwa pa wake ili nilijue hili. Hii naifanya bila kuajilriwa ila kwa mapenzi yangu kwa nchi yangu ili watu wawajue watu wanataka kuwaongoza. Kama unataarifa nyingine za chupi za mbowe, mnyika,zitto na wengine nipe nitazisambaza kwa juhudi na nguvu zoote.
As much as I respect Dr. Slaa I don't think he will be the leader of changes in Tanzania. Sisemi kwamba hana nafasi yake. La hasha. Ila kwangu mimi naona ni mtu mwingine kabisa ambae ata kuja kuongoza ukombozi wa kweli. Si vibaya lakini kwa sababu hata kupigania uhuru hakuanza Nyerere japo historia inaonyesha yeye ndiyo kiongozi wa mkakati wa kudai uhuru.