Mbona Lowasa hajakosea kabisa au mimi ndio sijaelewa?Ebu fakarini maneno ya Lowasa kwa mapana yake, maana kama serikali ya Kiwete hisinge kuwa ni serikali ya kushindwa kuchukuwa hatua leo hii Lowasa hasingelikuwa Bungeni hata siku moja.
- Mbona serikali inalaumiwa kwa kushindwa kufanya maamuzi magumu ya kumchukulia Lowasa hatua! huu ni uongo jamani?
- Serikali imeshindwa kufanya maamuzi magumu ya kufukuzakazi ndugu na marafikize Lowasa waliovurunda katika idara za serikali kumlinda kama Edwardo Heseah wa PCCB, mbona huu sio uongo Lowasa anasema ukweli kabisa.
- CCM ili ahidi kumfuka Lowasa, R. Azizi na Chenge lakini Serikali ya Kikwete imeshindwa kufanya maamuzi hayo hata hii mna taka kusema Lowasa kadanganya kweli jamani?
Kwa kweli nakubaliana na Slaa kwamba huyu jamaa ni michosho na alidhani atapata pa kutokea ili aonekane shujaa wakati watu wanajua kwamba yeye kwa sehemu kubwa anabeba lawama ya mengi ya mabaya yaliyopo leo serikalini. Asilete unafiki wake kwa ajili ya kupata political mileage.