johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,035
Dkt. Slaa amesema iko kwenye rekodi kwamba pale Mwembe Yanga alisema Lowassa ni fisadi Lakini yeye ni Padre anayetakiwa kuiponya roho ya Lowasa hivyo hana Tatizo lolote na Lowasa
Dkt. Slaa amesema Yesu mwenyewe pale Msalabani akimwambia yule Jambazi " hakika Leo hii utakuwa nami peponi"
Sasa mimi ni nani hadi nimuhukumu Edward Lowassa ikiwa Yesu Kristo mwenyewe alitangaza msamaha, amesisitiza Dr. Slaa
Chanzo: Jambo TV
Mlale Unono 😃😃
Dkt. Slaa amesema Yesu mwenyewe pale Msalabani akimwambia yule Jambazi " hakika Leo hii utakuwa nami peponi"
Sasa mimi ni nani hadi nimuhukumu Edward Lowassa ikiwa Yesu Kristo mwenyewe alitangaza msamaha, amesisitiza Dr. Slaa
Chanzo: Jambo TV
Mlale Unono 😃😃