Nimesikia leo Dr anatinga iringa kwa ngwe ya mwisho kuanzia majira ya sanane
Ngoja niwasiliane na wadau uko watupe updates
Ni kweli kabisa mkuu HK,Mpira si dakika tisini tu bali mpaka refa apulize filimbi ya mwisho. Dr Slaa na timu yako endelea kushambulia goli la adui na kulenda goli lenu. Msiji kupoteza points dakika za lala salama.
Ushindi upo jamani hamasisheni watu,majirani,marafiki,kaka,dada,mama,baba,ndugu zetu wooote jamani mpigieni slaa.
Siasa ni kama maigizo watu wamedanganywa Slaa anakuja Iringa kwa sababu watz ni wale watokanao na nchi ya zamani iliyojulikana kama DANGANYIKA walijazana viwanja na huyo ajae asije.nchi haiwezi kuwa na viongozi waongo.halafu tumpe ikulu akafanye nini hana maadili,hatimizi ahadi mtu gani?NO WE CAN'T KILL OURSELVES CAUSE LYING IS NOT OUR CUTURE.Any updates from Mr president Hn Dr P.W. Slaa (PhD) kuhusu Iringa and Dodoma?
Siasa ni kama maigizo watu wamedanganywa Slaa anakuja Iringa kwa sababu watz ni wale watokanao na nchi ya zamani iliyojulikana kama DANGANYIKA walijazana viwanja na huyo ajae asije.nchi haiwezi kuwa na viongozi waongo.halafu tumpe ikulu akafanye nini hana maadili,hatimizi ahadi mtu gani?NO WE CAN'T KILL OURSELVES CAUSE LYING IS NOT OUR CUTURE.
Sasa kila mahali wanamtaka kuwa rais wa tanzanania sijakataa lakini hawezi kuwa rais wa Tanzania.Na hiyo Tanzanania ipo dunia gani? KIFUPI HATUTAKI RAIS ASIYE NA MAADILI MUONGO HODARI WA VISINGIZIO KAMA HIYO VIDEO YAKO INAVYOSEMA.KAMA MTU MUUNGWANA UNAPOPANGA RATIBA LAZIMA UITEKELEZE LA HUWEZI UNATOA UDHURU KABLA YA KUKUSANYA WATU UPOOOOOOOOOOOO SLAA KUWA RAIS NI SAWA NA MENDE KUANGUSHA KABATI.MTAJIJUAcha mambo ya ajabu wewe! Umefuatilia kujua ni sababu ipi alichelewa kufika Iringa ama unalipuka tuu. Fuatilia video yake hapo juu alafu utajua kuwa kila mahali wanamtaka kuwa Rais wa Tanzanania. Dodoma mpooooooo... Chagua CHADEMA.. Chagua Slaa :smile-big: