Tena kisawa sawa mimi nauhitaji urais nimeona hamna m2 yeyote aliyezaliwa kabla ya kuanyiashwa vyama vingi anayeweza kulikomboa taifa hvyo ss ambao 2mezaliwa baada ya kuanzishwa vyama vingi ni muda wetu kuuhitaji uraisDr Slaa Chapa kazi
Tena kisawa sawa mimi nauhitaji urais nimeona hamna m2 yeyote aliyezaliwa kabla ya kuanyiashwa vyama vingi anayeweza kulikomboa taifa hvyo ss ambao 2mezaliwa baada ya kuanzishwa vyama vingi ni muda wetu kuuhitaji uraisDr Slaa Chapa kazi
Tena kisawa sawa mimi nauhitaji urais nimeona hamna m2 yeyote aliyezaliwa kabla ya kuanzishwa vyama vingi anayeweza kulikomboa taifa hvyo ss ambao 2mezaliwa baada ya kuanzishwa vyama vingi ni muda wetu kuuhitaji uraisDr Slaa Chapa kazi
Preta, kuna watu humu matumbo yanaanza kuwauma......!
Taarifa za awali zinasema mkutano huo pia utatumika kufuta nyayo za chama cha CUF ambacho kilisomba watu Dar-es-Salaam kwenda kuwahutubia Arusha ili kuepuka aibu ya kukosa watu.
wakiendesha nitawanunulia chambizi kila mtu carton yake.....hi hi hi hi......
Rusha tu tigo pesa au mpesa...namba si unazo?kwa kuwa nia unayo.....na sababu unayo.....kuliko ukose huu mkutano.....binafsi....nakutumia nauli.....sema upo wapi....
Rusha tu tigo pesa au mpesa...namba si unazo?
Mkuu Ritz
Hivi watu wa Arusha hawana shughuli za kufanya za maendeleo? Haya maandamano na mikutano isiyokwisha taifa wanalijenga wakati gani?kweli tuliimaanisha Arusha iwe mji wa mikutano kwa kujenga AICC hatukumaanisha uwe mji wa mikutano hii ya kiwendawazimu isiyokwisha au ndio tuseme wana vichwa vigumu kuelewa?
Chama
Gongo la mboto DSM
Ni mabasi 15
yeuwomii....ni nini mae kujificha hivyo...? basi uje hata mkutanoni tuonane ndaoo....sio vizuri eti.....
Mkuu Ritz
Hivi watu wa Arusha hawana shughuli za kufanya za maendeleo? Haya maandamano na mikutano isiyokwisha taifa wanalijenga wakati gani?kweli tuliimaanisha Arusha iwe mji wa mikutano kwa kujenga AICC hatukumaanisha uwe mji wa mikutano hii ya kiwendawazimu isiyokwisha au ndio tuseme wana vichwa vigumu kuelewa?
Chama
Gongo la mboto DSM
Sija ziona na wala sijasikia issue yoyoyte na niko hapa mjini kati labda nifatilie nikizipata nitakujuza...Kaka Town kunani saa hii, niko hapa kwa pole FFU tano zimepita taa juu ready for war.
ntakuja mae wangu, tukitoka hapo tunaenda first left kujikumbushia za enzi hizo, au Narok...juzi msafara wa lema ulinikuta natokea pale vodacom, nikakuchungulia kwa bidii zote mae, holaaa ndao.