Mkuu gamba Ritz mimi nimeshuhudia watu wakifunga biashara zao Arusha ili kuhudhuria maandamano na mikutano ya CDM...
Kwa taarifa yako moja ya mikoa ambao watu wake wanachapa kazi kisawa sawa ni Arusha na Kilimanjaro....
Ahaaa haa wanafunga kwa kuogopa vibaka!!!
Chama
Gongo la mboto DSM