Mkuu Ritz
Hivi watu wa Arusha hawana shughuli za kufanya za maendeleo? Haya maandamano na mikutano isiyokwisha taifa wanalijenga wakati gani?kweli tuliimaanisha Arusha iwe mji wa mikutano kwa kujenga AICC hatukumaanisha uwe mji wa mikutano hii ya kiwendawazimu isiyokwisha au ndio tuseme wana vichwa vigumu kuelewa?
Chama
Gongo la mboto DSM
cdm huwa haisafirishi watu. Subiri cuf wakirudi utasafirishwa.
kama una hasira, kamata mop kadeki bahari! Ebo!
safari anazoenda m.k.were nje ya nchi hata naibu waziri nyingine angwakilisha acha waziri mkuu,..huyu bwana kwa ushamba wa ndege ni nouma!!!!!huko america alipo akisikia jina la slaa anapoteza appetite ya burger maana anajua rais wake anakusanya umati
Kila mtu ana mtindo wake wa kufanya siasa, mbona mnakosa pozi mkisikia dr atafanya hili au lile?
Umeonyesha ukomavu wa kufikiri kwa kupiga mbizi! Uchaguzi wa madiwani nao umeitishwa ili Mikutano ya AICC isifanyike?
Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
Kama maandamano unayosema yanazuia shughuli za maendeleo, je huo mkoa wa Arusha unaoutaja kwamba umezidi kwa maandamano na mikoa mingine isiyo na maandamano sana, kwa mfano Pwani, Lindi, Mtwara, Kigoma, Singida, Tabora, Shinyanga; je, mikoa hiyo ina maendeleo gani zaidi ya Arusha?
Naona hoja yako haina nguvu.... Nadhani ni hofu tu!
Nadhani Ritz ndiye mumeo au!
Ha ha haa chama uwezo wako wa kufikiri na kujenga hoja una deteriorate kwa spidi ya ajabu sana, sijui utakuwa katika hali gani hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu.
We endelea na miradi yenu ya visima vya majimachafu huko gongolamboto, hii mambo ya Arusha ni makubwa kwako.
Juzi juzi tumemshuhudia kikwete akigawa ng'ombe wilayani monduli kwa mshikaji wake lowasa lakini hatujawahi kusikia wananchi wa Arusha wanaomba msaada wa chakula kwakuwa wanajitambua na wanajiweza, na hawategemei magamba kuendesha maisha yao, na hilo ndilo linawaumiza vichwa vya kuku wengi hapa JF na huko mitaani.
Mkuu Molemo vipi mabasi yatakuwepo kwa sisi ambao kidogo tupo nje ya mji?
Maana kuna chama nilisikia siku hizi kinabeba watu kutoka dar mpaka Arusha kwa ajili ya kujaza watu.
Wewe usiye andamana umezalisha kiasi gan? Umbea mbaya
Hiyo michezo ipo Chadema ndiyo chama chenye urafiki na vyama vyenye sera za ushoga!
Chama
Gongo la mboto DSM
Maendeleo hayo unayoyaongelea yamepelekwa na Chadema?
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu wangu chama,
Hawa makamanda siku zote nakuambia ni wahuni, angalia hata kauli zao wakiishavuta ugoro na kunywa mbege ni kuropoka matusi tu.
Hiyo michezo ipo Chadema ndiyo chama chenye urafiki na vyama vyenye sera za ushoga!
Chama
Gongo la mboto DSM
Hivi kuna chama kinaongoza kwa kutukana zaidi ya CCMabwepandeMkuu Ritz
Makamanda hawana hoja wanachokimbilia ni matusi labda ndio lugha wanayofundishwa wakiwa kwenye M4C
Chama
Gongo la mboto DSM