COMPLICATOR2011
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 253
- 35
Naanza kwa kusema siungi mkono hoja hiyo. Ndg zangu dk tumwache afanye kazi za chama na aendelee kupanga mikakati ya kuchukua nchi 2015, wape watu wa CDM wana uwezo mzuri wanaweza kulichukua jimbo lile ni la kwao. Lipumba akienda kule mm nawashauri CDM wamuunge mkono kwa masharti ya kutogombea urais 2015 ili asitupunguzie kura badala yake agombee ubunge huohuo, awe kama Mrema ajue kabisa urais siyo size yake tena amexpire machoni kwa wananchi akapiganie ubunge.